Lowassa alifuata nini Iringa?

Lowassa alifuata nini Iringa?

Itashangaza sana CCM kumpitisha mtu waliyemwajibisha wenyewe kugombea urais wa nchi hii! Halafu hata yeye mwenyewe hajitathmini? Walicheza mchezo wa kuigiza akashindwa akawajibika akirudi tena kwenye uarais si ndio itakuwa yaleyale ya kuchezea uchumi wetu kwa kuzunguka mbuyu?

lowasa aliwajibika mwenyewe,hakuwajibka.
 
Lowasa hawezi kuwa rais never ever. Hatufai wanyonge na watanzania. Hii nhi ni changa sn na ipo katika ujamaa na kujitegemea. Yeye ni bepari. CCM kama kweli wanataka washinde 2015 wampitishe Prof. anna kajumulo tibaijuka kugombea.

Ha! Ha! Ha! Haaaa!
 
Acheni mambo ya ajabu Lowasa bado ni Mtanzania na muumini anayo haki ya kwenda popote na kuingia makanisa yoyote kama mtanzania kilichokatazwa ni kutumia makanisa na misikiti na jamii zingine kutafuta kuungwa mkono kwenye mbio ya uraisi jeulimuona akipanda jukwaani na kusema chochote?. kwa mwendo mutamkataza mpaka kuingia bungeni kwenda sokoni na hata bar mtakataza baba wa watu.
utanilaumu bure mjomba ! kamati ya mangula ndiyo iliyowakataza KUJIPITISHA PITISHA ,labda kama KISWAHILI KIMEBADILIKA .
 
Lowassa ni Mkristo, kama walivyo wengine waliokuwepo!!! Ubaya wa yeye kuwepo uko wapi??


19.jpg
 
ameonekana kwenye vyombo mbalimbali akiwa miongoni mwa wageni kwenye JUBILEE YA MIAKA 25 YA UASKOFU WA NGALALEKUMTWA , LAKINI IKUMBUKWE KWAMBA CHAMA CHAO CHINI YA KAMATI YA MANGULA KILIWAONYA WALIOITWA WASAKA URAIS kwa NJIA ZA PANYA KUTUMIA SHUGHULI KAMA HIZI ILI KUTAFUTA KUUNGWA MKONO , SASA CHA KUSHANGAZA AMEONEKANA KWENYE SHUGHULI AMBAYO SIDHANI KAMA WABUNGE WA KIGENI WALIALIKWA ! JE ADHABU YAO IMEISHA ?

hawa ni wabunge wa wapi?
 
Mwacheni huyo mzee awe rais ameuhangaikia sana upresidenti
 
Tuache upumbavu na mawazo ya kijinga kwa kumuogopa lowasa nwakati hata siku moja hajatangaza kuwania urais ,kweli mti wenye matunda wadondoshwewa mawe ,lowasa ni mtanzania ambaye amepata bashati ya kukutana na watu wengi na kushirikiana nao tangu akiwa shule mpaka sasa pia ni waziri mkuu mstaaafu nasisitiza mstaafu ambaye mpaka sasa hana zxuio lolote la kimahakama kutogombea nafasi yoyote ,hata chama chake hakijamzuia kuhuzuria hafla, mwe mnataka hata harusi na misiba asitokee ni namna gani mnachukia kumkubali jembe ,piga ua yuko na afya njema kuiongoza tanzania miaka 10 ijayo akipewa nafasi na kila mtaka urais ccm ukimuuliza atakwambia mpinzani waki ni enl so ni kama ilivyo timu uya brazil kombe la dunia.
 
hawa ni wabunge wa wapi?

nisingeshangaa kama mbunge wa eneo husika angehudhuria , lakini kutoka MONDULI hadi IRINGA , tena bila MADARAKA YOYOTE YA KITAIFA ! JE HUKO SIYO KUJIPITISHA PITISHA ?
 
Huwa najiuliza sana, hivi Lowassa anautafuta urais wa nini wakati afya yake imedhoofu kiasi hicho? Na kama urais ndio unatafutwa hivyo, basi tujiandae kwa mateso.
Lowassa anaona hakuna maisha chini ya jua kwake bila kuwa rais. Hivyo inyeshe mvua au liwake jua yuko vitani kuusaka urais. Na akiukosa mwakani nadhani atakuwa tayari kwa kifo. Angalizo: Spidi za Lowassa zina kinga nyuma yake. Kumbuka alisema hawakukutana barabarani! Msiojua ndio mnamshangaa Lowassa lakini ukweli wapo katika mkakati wa pamoja ingawa yule yuko background!
 
ameonekana kwenye vyombo mbalimbali akiwa miongoni mwa wageni kwenye JUBILEE YA MIAKA 25 YA UASKOFU WA NGALALEKUMTWA , LAKINI IKUMBUKWE KWAMBA CHAMA CHAO CHINI YA KAMATI YA MANGULA KILIWAONYA WALIOITWA WASAKA URAIS kwa NJIA ZA PANYA KUTUMIA SHUGHULI KAMA HIZI ILI KUTAFUTA KUUNGWA MKONO , SASA CHA KUSHANGAZA AMEONEKANA KWENYE SHUGHULI AMBAYO SIDHANI KAMA WABUNGE WA KIGENI WALIALIKWA ! JE ADHABU YAO IMEISHA ?

Mimi ni team Lowasa naomba kudeclare interest, hivi Lowasa amekuwa Suarez nae kafungiwa shughuli za kijamii na kuabudu kama Suarez alivofungiwa shughuli za michezo?Basi kwa waliomfungia mwambie ili ajue ni lini atamaliza kifungo chake.Lowasa angeenda hata kwenye msiba wa msanii basi ingekuwa news.Please kama amefungiwa basi ajulishwe
 
nisingeshangaa kama mbunge wa eneo husika angehudhuria , lakini kutoka MONDULI hadi IRINGA , tena bila MADARAKA YOYOTE YA KITAIFA ! JE HUKO SIYO KUJIPITISHA PITISHA ?

ungekuwa na ushahidi kuwa amejipeleka na hakualikwa ndipo ungesema hivi.
 
Kwani ubunge sio sio siasa. Wamvue ububge basi kama jawataki ajihusishe na siasa.
 
Mimi ni team Lowasa naomba kudeclare interest, hivi Lowasa amekuwa Suarez nae kafungiwa shughuli za kijamii na kuabudu kama Suarez alivofungiwa shughuli za michezo?Basi kwa waliomfungia mwambie ili ajue ni lini atamaliza kifungo chake.Lowasa angeenda hata kwenye msiba wa msanii basi ingekuwa news.Please kama amefungiwa basi ajulishwe

membe , lowasa ,sumaye , ngeleja na wasira walifungiwa miezi 12 na kamati ya mangula kujipitisha pitisha na taarifa wanayo .
 
Back
Top Bottom