Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,330
- 271,666
- Thread starter
- #101
Mbunge wa kigeni ni nani? na mbona askofu alishasema kuwa mhe. alialikwa kama waalikwa wengine. taabu ni nn jamani? e.l juuu
Mbona hamad rashid hakualikwa?
Mbunge wa kigeni ni nani? na mbona askofu alishasema kuwa mhe. alialikwa kama waalikwa wengine. taabu ni nn jamani? e.l juuu
Jamani embu nisaidieni,hivi EL ni waziri mkuu mstaafu au........?
ameonekana kwenye vyombo mbalimbali akiwa miongoni mwa wageni kwenye JUBILEE YA MIAKA 25 YA UASKOFU WA NGALALEKUMTWA , LAKINI IKUMBUKWE KWAMBA CHAMA CHAO CHINI YA KAMATI YA MANGULA KILIWAONYA WALIOITWA WASAKA URAIS kwa NJIA ZA PANYA KUTUMIA SHUGHULI KAMA HIZI ILI KUTAFUTA KUUNGWA MKONO , SASA CHA KUSHANGAZA AMEONEKANA KWENYE SHUGHULI AMBAYO SIDHANI KAMA WABUNGE WA KIGENI WALIALIKWA ! JE ADHABU YAO IMEISHA ?
Kwani wewe ulialikwa mkuu? kuna vigezo walivyotumia mkuu.
kwahiyo asiende kusali? yeye ni mkristo kama mwingine yeyote.hata mimi ningekuwa na nauli ningeeda kushiriki misa hy.hakuna alichovunja.
Pole mkuu , binadamu tumeumbwa kudadisidadisi ili tuelewe wala hatukulenga kumkwaza yeyote , ndio dunia ilivyo mkuu .we ni -------- sana
ana haki ya kufanya mambo binafsi
sijasikia unaongelea any other people wanaoonekana kwenye hafla??
this irritates sana
Jamani embu nisaidieni,hivi EL ni waziri mkuu mstaafu au........?
kwahiyo asiende kusali? yeye ni mkristo kama mwingine yeyote.hata mimi ningekuwa na nauli ningeeda kushiriki misa hy.hakuna alichovunja.
mbona haeleweki dhehebu lake kwa gwajima, katoliki, lutheran, tb joshua au upako?
mbona haeleweki dhehebu lake kwa gwajima, katoliki, lutheran, tb joshua au upako?
ameonekana kwenye vyombo mbalimbali akiwa miongoni mwa wageni kwenye JUBILEE YA MIAKA 25 YA UASKOFU WA NGALALEKUMTWA , LAKINI IKUMBUKWE KWAMBA CHAMA CHAO CHINI YA KAMATI YA MANGULA KILIWAONYA WALIOITWA WASAKA URAIS kwa NJIA ZA PANYA KUTUMIA SHUGHULI KAMA HIZI ILI KUTAFUTA KUUNGWA MKONO , SASA CHA KUSHANGAZA AMEONEKANA KWENYE SHUGHULI AMBAYO SIDHANI KAMA WABUNGE WA KIGENI WALIALIKWA ! JE ADHABU YAO IMEISHA ?
Taratibu mkuu , mimi unanilaumu bure mjombawe ni -------- sana
ana haki ya kufanya mambo binafsi
sijasikia unaongelea any other people wanaoonekana kwenye hafla??
this irritates sana
mbona haeleweki dhehebu lake kwa gwajima, katoliki, lutheran, tb joshua au upako?
Huwa najiuliza sana, hivi Lowassa anautafuta urais wa nini wakati afya yake imedhoofu kiasi hicho? Na kama urais ndio unatafutwa hivyo, basi tujiandae kwa mateso.
Aliyejuzulu ;;;;; sumaye ndiye mstaafuJamani embu nisaidieni,hivi EL ni waziri mkuu mstaafu au........?
Lowassa ni rais mtarajiwa wa jmt
ccm inalitambua hilo,
wapinzani wanalitambua hilo,
watanzania wanalitambua hilo
na dunia nzima inatambua hilo