Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,658
ameonekana kwenye vyombo mbalimbali akiwa miongoni mwa wageni kwenye jubilee ya miaka 25 ya uaskofu wa ngalalekumtwa , lakini ikumbukwe kwamba chama chao chini ya kamati ya mangula kiliwaonya walioitwa wasaka urais kwa njia za panya kutumia shughuli kama hizi ili kutafuta kuungwa mkono , sasa cha kushangaza ameonekana kwenye shughuli ambayo sidhani kama wabunge wa kigeni walialikwa ! Je adhabu yao imeisha ?
yupi kati ya january makamba na lowassa anayefanya kampeni? Pambaf