kiroba
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 324
- 114
Wakuu wana wa JF, kama mh EL anakwenda kupiga kampeni huko kwenye uchaguzi mdogo wa Arumeru basi uwezekano mkubwa sana wa kushinda mgombea wa CCM. Hakuna asiyemjua EL kama ni jabali la siasa hapa bongoland. Huyu jamaa anajua mapambano ya kisiasa so atakuwa amempa support kubwa sana mgombea wa CCM.
Mungu ibariki Arumeru ili uchaguzi uishe kwa amani bila damu kumwagika. Amen!
Mungu ibariki Arumeru ili uchaguzi uishe kwa amani bila damu kumwagika. Amen!