Hakika Lowassa ana mvuto na ushawishi mkubwa sana ktk medani ya siasa nchi hii. Akienda huko Arumeru Chadema wataishia kuokota manyoya tu wakati kuku yupo kwa Lowassa. Lowassa ni KING OF POLITICS nchini, NANI KAMA LOWASSA?
Arusha mjini alikua anaamka paa moja na Batilda.
Kila stika ya CCM iliyobandikwa kwenye toyo/daladala/tax ililipiwa elfu tano,
Kila aliyepeperusha bendera ya CCM alipewa elfu kumi
Kinamama waliokata viuno barabarani walilipwa elfu kumi pamoja na kanga.
Ila baada ya matokeo kutangazwa, Lema alikamata kipaza akatukumbusha kuwa 'WAO WANA PESA SISI TUNA MUNGU'.
Batilda aliangukia pua mbele ya uyo unayemuhofia.
Tulianza na Mungu na Tunamaliza na Mungu
Nina hakika wewe si mlipa kodi na kama kweli huwa unalipa kodi basi sina hakika kama unalipia TRA au unahonga rafiki zako. Halafu hili la kukaa bar kwa mtu kama wewe lazima uliseme kwa kuwa ndio tabia yako, pole sana. Halafu acha ubinafsi hii ni nchi yetu sote sio ya kikundi fulani tu.Sawa ni Jabari, na sawa akienda Arumeru CCM Watashinda.
wewe binafsi unalifikiaje hili, kama una akili timamu, na ni mtu unayekula kwa Jasho lako, kama sio omba omba tajiri,
kama sio kidokozi huko unakofanya kazi ama kama haukwepi kulipa kodi na kama sio kula kulala, na kama haujakata tamaa na maisha unaichukuliaje hali kama hiyo?
Nyie ndio mnaoshinda BAR na kununuliwa bia na wanaume wenzenu kisha mkiishalewa mnaanza kupiga kelele za kuitetea CCM.
Hata kama nalazimika kukusikitikia sababu, tatizo linalokusumbua kwa vyovyote vile ni zao la mfumo mbovu wa elimu nchini kwa nini Japo usikae kimya basi sisi walipa kodi tukaongea.
Kweli wewe ni graduate la kata.:flock:Sawa ni Jabari, na sawa akienda Arumeru CCM Watashinda.
wewe binafsi unalifikiaje hili, kama una akili timamu, na ni mtu unayekula kwa Jasho lako, kama sio omba omba tajiri,
kama sio kidokozi huko unakofanya kazi ama kama haukwepi kulipa kodi na kama sio kula kulala, na kama haujakata tamaa na maisha unaichukuliaje hali kama hiyo?
Nyie ndio mnaoshinda BAR na kununuliwa bia na wanaume wenzenu kisha mkiishalewa mnaanza kupiga kelele za kuitetea CCM.
Hata kama nalazimika kukusikitikia sababu, tatizo linalokusumbua kwa vyovyote vile ni zao la mfumo mbovu wa elimu nchini kwa nini Japo usikae kimya basi sisi walipa kodi tukaongea.
Hizo ni mila za kwenu huko gizaniMila za kiafrika haziruhusu baba mkwe kuzoena na mkwewe!
Una ushahidi mkuu au na wewe ni wale wale chuki kwanza. Hebu jaribu kuthibitisha hii kauli yako. Unajua hapa wengi mnafuata tu mkumbo eti ukisikia fulani anasema na wewe unsema itakuwa kweli. Hebu mwaga hapa jamvini uvhafu wa EL na vielelezo vyake. Acheni fitina na chuki zisizo na msingi.Magamba mna kazi ya kumsafisha gamba mwenzenu e l,hakika uchafu siku zote huitwa ni uchafu ukiona mtu anaita uchafu ni usafi basi haraka mtu huyo yafaa apelekwe india kutibiwa.lowassa ni mchafu hasafishiki hata kwa jiki,lowasa na kundi lake ni wauaji wakubwa ktk nchi hii,tazama walichomfanya mwakyembe! Hakika hata shetani siku ya mwisho ata mkataa
Umekosea spelling sio jabali ni JAMBAZI.
Hata mimi kutokana na aina ya umaskini nilio nao kama wewe ikitokea Lowassa akanilipa kumpigia debe nitafanya kama wewe lakini hakika ni lazima nikatubu kama alivyofanya Yuda Iskariot baada ya kuchukua vipande 30 vya fedha.
wakuu wana wa jf, kama mh el anakwenda kupiga kampeni huko kwenye uchaguzi mdogo wa arumeru basi uwezekano mkubwa sana wa kushinda mgombea wa ccm. Hakuna asiyemjua el kama ni jabali la siasa hapa bongoland. Huyu jamaa anajua mapambano ya kisiasa so atakuwa amempa support kubwa sana mgombea wa ccm.
Mungu ibariki arumeru ili uchaguzi uishe kwa amani bila damu kumwagika. Amen!
Alimfanyaje Mwakyembe? Suppose it is the other way round? Kwamba Mungu anamtesa Mwakyembe kutokana na alivyomsingizia EL?Magamba mna kazi ya kumsafisha gamba mwenzenu e l,hakika uchafu siku zote huitwa ni uchafu ukiona mtu anaita uchafu ni usafi basi haraka mtu huyo yafaa apelekwe india kutibiwa.lowassa ni mchafu hasafishiki hata kwa jiki,lowasa na kundi lake ni wauaji wakubwa ktk nchi hii,tazama walichomfanya mwakyembe! Hakika hata shetani siku ya mwisho ata mkataa