yote tisa, mwambie atueleze amepata utajiri wote huo? kama mwaka 1995 baba wa taifa alisema jamaa ana fedha nyingi kuliko umri wake leo hii na ufisadi wake wote huu atakuwa na pesa kiasi gani? kwanza hana shida na urais wenu anachokitaka ni kulinda raslimali zake tu na kuzeeka salama, hana lolote yuleLowassa aliwajibika kutokana na makosa ya watendaji waliokuwa chini yake. Isome upya na uielewe report ya Mwakyembe ilivyoainisha makosa ya waziri mkuu. Lowassa aliwajibika [ political responsibility ].