Mkuu tatizo letu si afya wala uwezo wa kusimama jukwaani kwa muda mrefu,tatizo letu ni ccm basi.nimestaajabu nilipoiona picha ya leo iringa mjini, lowasa anaongea lakini kashikiria 'mimbali' kwa nguvu sana na mikono miwili. ni kama amejiegemeza kwayo.
kama ndio mfanyabiashara ambayo yupo akilini mwangu basi msigwa kagonga mwamba jamaa namfahmu viziri sana ana nguvu kubwa sana Iringa isitoshe pia amesaidia sana jamii ya wana iringa bila kujali itikadi za chama . Pia huyu bwana ana nguvu sana CCM at my point of view msigwa harudi tena jimbo la iringa.
jamaa ameuliza hao wenye uwezo wa kujenga hoja na kushawishi wameifikisha wapi Tz?Acha kupepesa macho, kiongozi wa kisiasa lazima awe na uwezo wa kujieleza.Kiongozi anatakiwa awe mshawishi na mwenye uwezo wa kujengo hoja.
Only 5 minutes.. Muda mwingi wameongea Sumaye, Mungai na Msigwa.
Mpaka sasa zishaleta impact gani kwenye uchumi na maisha yetu?acheni kuishi kwa mazoeaKwahiyo zile hotuba za kila mwisho wa mwezi tuzisahau mwanawane
Kuna jamaa zangu niliwaambia Tanzania mabadiliko hayazuiliki, watu wamechoka, hata ukiwatazama Watanzania usoni unajua kabisa kuna shida mahali.....na shida ni CCM, mwaka huu hata baba wa Taifa angekuwapo na kuipigia kampeni CCM lazima watanzania wangemuambia Mwalimu tunakuheshimu sana, lakini kwa hili wacha tuchague upande huu........Nchi inanuka rushwa, sasa madawa ya kulevya na meno ya tembo, eti bado mtu anataka tuichague CCM.
Umeambiwa kuwa hakumtaja jina mfanyibiashara huyo.Hajui km jamaa anaweza kumpeleka mahakamani na akalipwa fidia ya kutosha mnoo. Ningekuwa karibu ningempa maujanja, nashauri jamaa atafute mwanasheria mzuri najua mch hatarudia tena kuropoka asilojua. ..lets wait loading....
Na picha zenyewe zinaonekana ni kutoka viwanja tofauti. Mwaka huu tutalishwa propaganda na hivi vyama vya siasa mpaka tutajuta kuzaliwa.
Nitampigia kura hata kama yupo ICU
Hahahahahahaha acha waumwe tuu maana tumechoka hakuna namna nyingineLowassa, tafadhali baba, ccm wanapata homa kali. Itabidi peoplezzz tupungue kuhudhuria mikutano maana wazee wa kijani wanaumwa kabisa
sasa huyo mfanyabiashara utamtofautishaje na ccm, kwani anasidia chama sana. na ndio maana ameambiwa hivyo.Msiwe mnakurupuka kujudge huyo mfanyabiashara kashapokea tuzo nyingi za mlipaji kodi bora...
Watanzania ndo maana hatuendelei badala ya kujitafutilia maendeleo wemyewe tumekaa tunatafutiana chuki kwny biashara
Asante mkuu kumbe unafuatitilia kila analofanya enhee muda huu anakunywa vidonge gani tujuze basiSio tu imechina, Lowassa muda wa dakika alizoongea kashikilia kimeza, kile kimeza kikichoka kikaanguka, nayeye chali
Afya mgogoro hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kistuli hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Studio hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Tovuti hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mahaba hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Nawashukuru sana