sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,667
Naungana na wewe, EL ni mvumilivu sana ila sina hakika na roho ya kusamehe na kutolipiza visasi.
Ni kweli, ukimchunguza Elli utagundua toka ajiuzulu amebadilika ile confidence imeondoka, kawa mpole, hata ikatokea amekuwa rais hatweza kudeliver unless akubali kuondoa kinyongo, aunde maridhiano afanye kazi na maadui zake wajenge taifa, otherwise hataweza kuongoza hii nchi na pengine tukashuhudia rais wa kwanza kufia ikulu kutokana na ugonjwa wa moyo.
Lowassa ana washauri wazuri sana, lakini kinachombeba ni network liyonayo, nachofaam mpaka sasa Elly ana marafiki wakuu wanne. Rostam, Jk, sophia simba na beatrice shelukindo. Sasa huyu rostam ndie ametoka kutangazwa taajiri no one tanzania, jk ana dola, shelukindo na simba ni kura za wanawake. Hapo kwa JK lowasa alishasema JK ni rafiki yake anampenda sana kikwete na anamuheshimu,hawjakutana barabarani kikwete hajawahi kusema chochote kuhusu mahusiano yake na Eli ila kwa tabia ya JK huwa ni mtu wa kuangalia upepo (ana tabia ya kuheshimu maawazo na matamanio ya wananchi) ataangalia, akiona lowassa ana upepo, atambeba akiona hana nguvu atampiga chini. So tutegemee lolote