Change blood?
Mimi ndio nai dramatize hii habari?!Urais 2015 ndio sababu pekee ya hii habari kupewe too much attention. It's undeserved and unfortunate to Tanzania.Normaly it should have been a mere private thing and should have been kept as such.
Nakala: Pasco wa JF - don't dramatize it plz
Kwenye katiba tuweke kipengele cha Afya ya mgombea na kuspecify kuwa asiwe amewai kuumwa magonjwa............
nazani madr wanaweza kutusaidia kuyainisha
moja la mfano asiwe amewai kuumwa ugonjwa wa akili
ee mwenyezi mungu mjaalie afya njema rais wetu mtarajiwa lowassa.
Tapeli utalijua tu,cheki lile pozi......khaaa! Mbavu sinaView attachment 70294 akipata baraka
EL anaumwa nini?
Huyo ndo mnataka kumpa nchi? Jicho tu ulaya, pesa ya mtanzania si itaishia kwenye matibabu ya ikulu?