Lowassa aanza kuchunga ng'ombe huko Handeni, Tanga

Lowassa aanza kuchunga ng'ombe huko Handeni, Tanga

jamani hamkuwa mnajua lengo lake ninini? !? lengo kuu lilikuwa ni kuua ajenda ya ifisadi ili kuishi kwa amani na starehe. leo mani ataongelea ufisadi. si utatonesha vidonda watu waanze kukumbukia
 
Huyu ndiye aliyekuwa ana takiwa kuwa rais siyo kama rais wa wale jamaa wanaofukuzana utafikiri waliingiliana kwenye anga zao.

Si umwapishe basi sio kuandika kwenye key board tu, kama uchaguzi ulifanyika na mshindi amepatikana unataka nini tena?
 
Ngoja aumwe na nyoka huko porini ndio atajua madhara ya usanii. Mchungaji gani wa ng'ombe anayevaa shati la Versace, suruali toka duka la Harrods na viatu vya kiitaliano akiwa mbugani?
Nakuita mpiga picha ,apige picha ya maigizo.kashika na bakora ndeeefu heh heh kazi kweli
 
Aliyekuwa mgombea wa uraisi kwa mwavuli wa UKAWA ndugu Edward Lowasa inadaiwa ameanza kuchunga ng'ombe huko Handeni mkoani Tanga. Ana makazi Ngarash Monduli, Dodoma, Masaki, na sasa uzeeni ni Handeni Tanga anachunga ng'ombe.

Chanzo: Gazeti la Majira.
 
acha unafiki wewe, hizo ng'ombe ni za bibi yako

na wewe ulikuwa unampigia sana kidebe mkuu ili uambue kanafasi fulani kama fisi. Sasa inakuwaje? Sijakusikia ukitangaza utafanya nini au utamwunga nani mkono. Mbio za sakafuni za mzee hatimaye zimefika ukingoni. Hatakaa athubutu tena kugombea uraisi.
 
Aliyekuwa mgombea wa uraisi kwa mwavuli wa UKAWA ndugu Edward Lowasa inadaiwa ameanza kuchunga ng'ombe huko Handeni mkoani Tanga. Ana makazi Ngarash Monduli, Dodoma, Masaki, na sasa uzeeni ni Handeni Tanga anachunga ng'ombe.

Chanzo: Gazeti la Majira.



Unafir↖(^ω^)↗@@ sana ww..😨😨
 
Back
Top Bottom