Lowassa aanza kuchunga ng'ombe huko Handeni, Tanga

Lowassa aanza kuchunga ng'ombe huko Handeni, Tanga

Mmawia njoo huku jamaa amestaafu rasmi siasa
 
Last edited by a moderator:
Mshamba tuu, huu ufugaji wa mwaka 47 nani anaitaka, anatuharibia mazingira.
Kwa hela alizoiba alitakiwa awe na ng'ombe wa kisasa

Ng'ombe wa kisasa ndio wapi?
Kwa haraka haraka ukiangalia hao ng'ombe unakadiria wastani wa kilo ngapi?
Unajua chochote kuhusu aina ya ng'ombe na ubora wa nyama?
Anaharibuje mazingira labda?
 
Anaonyesha mfano. Wafugaji wanatakiwa walishe ng'ombe kwenye mapori sio kulishia ng'ombe kwenye makazi ya watu na mashamba ya watu.Nchi Ina mapori mengi
 
Mchungaji wake ng'ombe yule Mdosi anaitwa Salim afanye kazi ipi?

Hivi sio wewe ulikua unauliza Lowasa ashaanza kuchunga ng'ombe ?? Leo kaanza kuchunga ng'ombe imekua shida tena eti Salim afanye kazi ipi ,wanadamu siwawezi
 
anachunga kwenye ranchi ya mzeri. achunguzwe kama kapewa kihalali.
 
Jamaa yenu akikosa uwenyekiti wa PAC anaenda kwenye kazi yake ya uchawi

Kila siku nlikuwa nakuuliza kuhusu mifugo ya mzee....ukawa unaniita mubembe.......vipi unazizungumziaje picha za kuchunga
 

Attachments

  • 1451110521278.jpg
    1451110521278.jpg
    19.3 KB · Views: 308
Back
Top Bottom