Angevaa mgolole hapo ndipo maigizo yangenoga. Hamna cha umaskini wala nini. Sasa zungusha mikono.Kwani kuchunga inabidi uvae nini mkuu??
Kweli umasikini unajenga tabiaa!!
Wewe unayeandika haya bado unaishi kwa wazazi wako mwenzio hapo alipo kila ng'ombe mmoja unayemuona hapo bei yake ni wastani wa sh 1.5m
amepoteza matrilion karudia vimilioni siyo? Hakuna tena namna ya kuiba afikishe matrilion atalambwa bakora
Mkuu ni kweli Mzee Lowasa Achunga Ng'ombe anatekelezaUujumbe wa Mheshimiwa Rais Mgufuli HAPA KAZI TU.
Duu afya ya Lowassa inaimarika sana...
Tangu afanyiwe maombi na Tb Joshua namuona yuko fit sana..
Hata alivyokuja arusha kenye kampen za lema alikuwa na afya nzuri tofauti na mwanzo...
amepoteza matrilion karudia vimilioni siyo? Hakuna tena namna ya kuiba afikishe matrilion atalambwa bakora
amepoteza matrilion karudia vimilioni siyo? Hakuna tena namna ya kuiba afikishe matrilion atalambwa bakora
the guy is rich.maskini wa humu jf wanashinda kupiga porojo wee..wakati hata kuku hawana.safi sana Ngoyai...u always do and talk less
Mchungaji wake ng'ombe yule Mdosi anaitwa Salim afanye kazi ipi?
amepoteza matrilion karudia vimilioni siyo? Hakuna tena namna ya kuiba afikishe matrilion atalambwa bakora
Mchungaji ana bodyguard! Naamini huyu Mzee alipata First Class yenye Hons degree yake ya sanaa na Maigizo chuo kikuu cha Dar es salaam!