Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,957
- 10,054
Mamvi ndiye Rais wa moyo wako? Vipi ameishachukua nafasi ya Dr. Slaa? Una moyo mwepesi mkuu manake unabadilika kirahisiNilipiga kura ya Rais/Mbunge na Diwani katika jimbo langu, wote walichukua CDM ila urais kitaifa wamechukua magamba :angry: Rais wangu mamvi.