Lowassa aanza kuchunga ng'ombe huko Handeni, Tanga

Lowassa aanza kuchunga ng'ombe huko Handeni, Tanga

Ngoja aumwe na nyoka huko porini ndio atajua madhara ya usanii. Mchungaji gani wa ng'ombe anayevaa shati la Versace, suruali toka duka la Harrods na viatu vya kiitaliano akiwa mbugani?

Kwani kuchunga inabidi uvae nini mkuu??

Kweli umasikini unajenga tabiaa!!
 
Aliyekuwa mgombea wa uraisi kwa mwavuli wa UKAWA ndugu Edward Lowasa inadaiwa ameanza kuchunga ng'ombe huko Handeni mkoani Tanga. Ana makazi Ngarash Monduli, Dodoma, Masaki, na sasa uzeeni ni Handeni Tanga anachunga ng'ombe.

Chanzo: Gazeti la Majira.
Mkuu ni kweli Mzee Lowasa Achunga Ng'ombe anatekelezaUujumbe wa Mheshimiwa Rais Mgufuli HAPA KAZI TU.

acha unafiki wewe, hizo ng'ombe ni za bibi yako
 

Attachments

  • lowasa.jpg
    lowasa.jpg
    247.4 KB · Views: 1,355
  • lowasa achunga ng'ombe.jpg
    lowasa achunga ng'ombe.jpg
    400.2 KB · Views: 1,331
na wewe ulikuwa unampigia sana kidebe mkuu ili uambue kanafasi fulani kama fisi. Sasa inakuwaje? Sijakusikia ukitangaza utafanya nini au utamwunga nani mkono. Mbio za sakafuni za mzee hatimaye zimefika ukingoni. Hatakaa athubutu tena kugombea uraisi.

mbna ueleweki we jamaa!!
 
Alichezea nafasi yake.
Hapa kazi tu hakuna kulala.
Sumaye na kingunge wamsaidie.

Wewe unayeandika haya bado unaishi kwa wazazi wako mwenzio hapo alipo kila ng'ombe mmoja unayemuona hapo bei yake ni wastani wa sh 1.5m
 
Last edited by a moderator:
Ng'ombe mmoja tu hapo kwa bei ya chini kabisa tshs 1.5 mil... daaah..

Ukiwa na ng'ombe 300 tu, umeshatoka kimaisha..!! Na watu humu hawajui kitu, ng'ombe ni biashara kubwa sana duniani, either uuze maziwa au nyama...!! Wanalipa sana sanaaaaa...
 
na wewe ulikuwa unampigia sana kidebe mkuu ili uambue kanafasi fulani kama fisi. Sasa inakuwaje? Sijakusikia ukitangaza utafanya nini au utamwunga nani mkono. Mbio za sakafuni za mzee hatimaye zimefika ukingoni. Hatakaa athubutu tena kugombea uraisi.
Mbona hujamshauri na wewe baba yako agombee, au hana sifa?
 
Ata mimi nilienda kuchunga ng.'ombe wangu Mbeya siku ya x mas. Kuna raha yake!!
 
Mchungaji wake ng'ombe yule Mdosi anaitwa Salim afanye kazi ipi?
 
Mkuu ni kweli Mzee Lowasa Achunga Ng'ombe anatekelezaUujumbe wa Mheshimiwa Rais Mgufuli HAPA KAZI TU.

asante sana mkuu hizi picha zingekaa kwenye habari itapendeza sana Moderators
 
Back
Top Bottom