Lowassa aanza kuchunga ng'ombe huko Handeni, Tanga

Lowassa aanza kuchunga ng'ombe huko Handeni, Tanga

Mkwere akiona hii naye atapiga picha akipalilia mananasi.

Unafananisha usingizi na kifo, JK kamaliza muda wake wa uongozi! HAKUWAHI KUKATWA KATWA! Aienda huko heshima iko pale pale! Huyu mwingine hana jinsi, kakatwa ndo kaenda huko!
 
Hongera mh Najua umetekeleza kauli mbiu ya HAPA KAZI TU.
 
Tumshauri afuge na siyo kuchunga! Uchungaji unaumiza taifa hili kwa kuzalisha matatizo ya magomvi kati ya wachungaji na wakulima na pia uaribifu wa mazingira.
 
Hebu tuache sanaa za kitoto.

Baada ya utekelezaji wa ahadi za Magufuli kuwa na kasi ya jet hatimaye tumeanza kuona sanaa za kutaka kujinasua na sekeseke la kutumbuliwa majipu.

Wakati wa kampeni na mara baada ya kuapiswa Magufuli na serikali yake aliwataka wanaomiliki mashamba makubwa bila ya kuyaendeleza wayaendeleze kabla serikali haijayachukua.

Sasa kuna wasanii na wajanja wajanja wanataka kuhadaa umma kuwa wanayaendeleza mshamba hayo kwa kuchunga ngo'mbe.

Usanii wa namna hii hautawaondolea sifa ya kuwa majipu ya kutumbuliwa.


Lukuvi ataaangalia hati inatakutaka kuliendeleza vipi hilo shamba na kama umeshindwa litatwaliwa na kugaiwa kwa wananchi wasio na mashamba.
 
Kaenda kuangalia mifugo yake nyie mnasema anachunga ..kama hujawahi kuchunga ng'ombe ndo unaweza kuamini eti mzee anachunga
 
Huo ni wivu wa kukosa. Hakuna nguo maalumu kwa mchungaji kuvaa wala viatu. usiishi kwa kukariri, hii ni karne ya 21 kwenda ya 22.

Afadhali umwambie huyo kilaza wa lumumba
 
Hebu tuache sanaa za kitoto.

Baada ya utekelezaji wa ahadi za Magufuli kuwa na kasi ya jet hatimaye tumeanza kuona sanaa za kutaka kujinasua na sekeseke la kutumbuliwa majipu.

Wakati wa kampeni na mara baada ya kuapiswa Magufuli na serikali yake aliwataka wanaomiliki mashamba makubwa bila ya kuyaendeleza wayaendeleze kabla serikali haijayachukua.

Sasa kuna wasanii na wajanja wajanja wanataka kuhadaa umma kuwa wanayaendeleza mshamba hayo kwa kuchunga ngo'mbe.

Usanii wa namna hii hautawaondolea sifa ya kuwa majipu ya kutumbuliwa.


Lukuvi ataaangalia hati inatakutaka kuliendeleza vipi hilo shamba na kama umeshindwa litatwaliwa na kugaiwa kwa wananchi wasio na mashamba.

Lukuvi ni msanii wakati wafugaji na wakulima wa jimboni mwake wanatoani macho hawaoni
 
Afya ya Lowassa imeimarika sana nje ya CCM.Hivi CCM mlikuwa mnamfanyaje Lowassa mpaka afya yake ikatetereka hivyo?
Aliyekuwa hawezi kushika Mic ,leo kashika fimbo na kuchunga porini!
Heri alitoka CCM,wangeshammaliza.
 
Vimba pasuka, payuka vuta domo..Lowasa is the best hakuna mfano wengine ni kuigaiga tu. Huyu mzee very smart and very creative.
 
Back
Top Bottom