Lowassa aanza kuchunga ng'ombe huko Handeni, Tanga

Lowassa aanza kuchunga ng'ombe huko Handeni, Tanga

Mchungaji wake ng'ombe yule Mdosi anaitwa Salim afanye kazi ipi?

Bila kumtajataja huyu mzee mavi yanawabana? Maisha yake na yako mbali mbali. Nadhani mnlitaka msimuone kabisa kny hii dunia. Mlitaka msikie kuwa amekufa? Na vile mlivyomwita mgonjwa mlitegemea leo hata msimuone akitembea. Lkn mungu alie mlinzi wa wote anaendelea kumuimarisha siku hadi siku. Mtaendelea kuumwa roho zenu hadi ziwapasuke.
 
Mwenyezi Mungu akujalie afya bora, moyo usio lipiza kisasi, .... Watanzania tunakupenda sana wewe na mama Regina. Uungwana wenu umeifikisha nchi hii hapa ilipo. People branded you eti mpenda madaraka, baada ya uchaguzi ulikuwa wa kutamka neno moja na ukasababisha but hukutamka. Maana unaamini haki ya mtu yaweza kuporwa kwa mda tu. Tutaendeelea kupigania katiba bora ili ujanja ujanja huu usijirudie tena na tena
 
Mzee hana habari, hana muda wa kulumbana na watu, anafanya kazi.

Hii ndio siasa tunayoitaka.

Kama ni nombe Hata Kikwete anazo tena anafuga kisasa? Achana na hawa wasanii wanaoharibu vyanzo vya maji Handeni na kusababisha migogoro ya wakulima na wafugaji....Mnasifia ujinga.
 
wanajf:tunayo mengi sana ya kujifunza toka kwa huyu mzeee

Mungu ampe maisha marefu,japo kuna watu hawampendi
 
Hapa handeni si ndiyo ile ranch ya serikali aliyojiuzia/ aliyojipa alipokua waziri ...magufuli inabidi airudishe NARCO hii...
 
Lowassa ni kichwa! Ubunifu wake haupimiki, hapo kwenye ng'ombe anajaribu kutuonesha alivyo mnyenyekevu kwa umma wa watanzania. Hiyo ni lugha ya picha Lowassa anaweza kila kitu namtakia maisha marefu.
 
Ccm lazima waweweseke wakimuona Lowasa, jamaa kukata tamaa mwiko, halafu ktk maisha yake kila alichopata aliwekeza kwenye shughuli za uchumi/uzalishaji, wakati wabaya wake waliwekeza kwenye K, sasa inawaumaje wakimuona jamaa hatetereki!!?
 
Lowassa ni kichwa! Ubunifu wake haupimiki, hapo kwenye ng'ombe anajaribu kutuonesha alivyo mnyenyekevu kwa umma wa watanzania. Hiyo ni lugha ya picha Lowassa anaweza kila kitu namtakia maisha marefu.

bado sijakusoma vzr hapo
 
Ccm lazima waweweseke wakimuona Lowasa, jamaa kukata tamaa mwiko, halafu ktk maisha yake kila alichopata aliwekeza kwenye shughuli za uchumi/uzalishaji, wakati wabaya wake waliwekeza kwenye K, sasa inawaumaje wakimuona jamaa hatetereki!!?

duuuh!!! kumbeee!!
 
Kaona Magufuli hatanii aliposema atachukua maeneo yote ya ranchi ambayo hayatumiki ipasavyo na kuwagawia wananchi.Lowasa kaona ahamie huko aite na vyombo vya habari ajionyeshe kuwa yeye hilo shamba analitumia ili Magufuli ASILICHUKUE .Lowasa mjanja.Kaona shamba litaondoka akibaki Monduli au Dar katimka mwenyewe mbio.Chezea Magufuli.Magufuli endelea kukakamaa hivyo hivyo.

kamwe Magufuli hawezi gusa hapo, hata ashuke yesu
 
Masai gani hana lubega! Avae na shuka la kimasai kabisa.

Ila JK anawafuga kimjini zaidi,
 
Back
Top Bottom