Lowasa kusomewa mashtaka mapya Zanzibar

Lowasa kusomewa mashtaka mapya Zanzibar

Attachments

  • IMG-20150111-WA0017.jpg
    IMG-20150111-WA0017.jpg
    58.7 KB · Views: 553
Mbona ni Lowasa anaongelewa sana kana kwamba ni yeye tu anaetaka urais ndani ya ccm na kuwa ni yeye pekee anayefanya kampeni! Kama ni kutumia fedha ni wengi tu tunawaona wanaofanya kampeni za chini chini na kutumia fedha. LAKINI ajabu ni Lowasa tu yuko kinywani mwa watu!
 
jamani Lowassa hata simpendi huyu jamaa vijana wanapiga bodax2 za kifisadi kwa mgongo wa lowassa njaa zitawaua mnaojiita TEAM LOWASSA
 
Chabruma umesahau boss wako Membe alivyomtesa kibanda kisa urais leo unasema ni kibaraka wa Lowassa? Membe anamchukia sana kibanda ameshindwa tu kumuua.

Na Ugomvi Wao Siyo SIASA Bali Ni Yule Demu Mhariri Mkuu Channel Ten Na Magic FM......Dinna Chahali! Mapenzi Ni Hatari.
 
Wewe unanufaika na za wa-commoro ndo maana unam-diss. Na huyu Mende wako hapati kitu nyambafu.

Rushwa mbaya sana. Yaani fedha zimefanya huyo Chabruma amsaliti baba yake mzazi mzee Sita na kumsapoti huyo jamaa aliyekula ela za Gadafi, Comoro na Moroco........ni rushwa tu inayoweza kumgeuza mwanaume kuwa mwanamke na mwanamke kuwa mwanaume by Sendeka
 
Acheni ushabiki hakuna wa kumfukuza lowassa ccm maana hakuna mwenye evidence ya yeye kukichafua chama.
 
Mbona ukisikia jina la EL unaweweseka sana? We si ndie uliyesema akifukuzwa atapata umaarufu? Mbona umebadili tena msimamo wako?

Namshangaa huyu jamaa, baada ya kumpiga Warioba na akakwama sasa anahangaika na EL ambaye hamuwezi milele.

All in all naomba wana CCM mpigane haswa na muuwane wenyewe kwa wenyewe.
Nyie ilani yenu ni rushwa, ufisadi, unyang'anyi, unyanyasaji TU kwa wananchi.
Miaka 50 iliyopita, mpya zenu ndiyo hizo.
Uwaneni na mkafie mbali wote.
 
Mbona ni Lowasa anaongelewa sana kana kwamba ni yeye tu anaetaka urais ndani ya ccm na kuwa ni yeye pekee anayefanya kampeni! Kama ni kutumia fedha ni wengi tu tunawaona wanaofanya kampeni za chini chini na kutumia fedha. LAKINI ajabu ni Lowasa tu yuko kinywani mwa watu!

CCM wanamuogopa sana huyu jamaa aisee, lazima atawatotolesha tu.
 
Nimeshindwa kuweka link mwenye kuweza aende kwenye Twitter ya absolam kibanda kuna hii habari,vilevile kubenea kafichua njama za kumfukuza uanachana Lowasa.

Kwani maamuzi yanatoka zanzibar? Au dodoma? Mzanzibar gani mwenye uwezo wa kumfukuza lowasa? Umeona wapi slave kumtuma boss wake!
 
Na Ugomvi Wao Siyo SIASA Bali Ni Yule Demu Mhariri Mkuu Channel Ten Na Magic FM......Dinna Chahali! Mapenzi Ni Hatari.

Mkuu GENTAMYCINE bado sijakupata vyema. Ugomvi kati ya nani na nani? Dina Chahali ni team ipi hasa?
 
Last edited by a moderator:
Mti wenye matunda ndio hulengwa sana kwa mawe so siyo kosa lao ila ikulu inanhusu
 
Binafsi ningependa sana Lowassa afukuzwe tu CCM hata kama atakuwa ameonewa. Lengo hasa asipate kabisa nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM ili tuone CCM inawezaje kusimama bila dume lao tegemeo.
 
I wish formation ya lowassa & nchemba boy kwenye 5th edition tuone mchaka mchaka wake
 
Afukuzwe tu kwani ana faida gani? Cha kushangaza wanaokuwa na hofu ni Kibanda na Kubenea ambao walikuwa wanufaika wa fedha za Fisadi Lowasa

Hamna na kumfukuza Edo,wewe kama haumtaki tafuta nchi ya kuishi ,huyo ndo rais wa nchi ajae
 
Back
Top Bottom