Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,949
- 74,431
Chabruma mie mambo ya huko kwenu hayanihusu ila nikuambie kuwa wewe hata kama unatumika na akina Six bado wewe na hao hamna ubavu kwa Lowassa kabisa.Afukuzwe tu kwani ana faida gani? Cha kushangaza wanaokuwa na hofu ni Kibanda na Kubenea ambao walikuwa wanufaika wa fedha za Fisadi Lowasa
Last edited by a moderator: