sijui kwa nini jk anamuogopa lowassa
Lowasa ndiye jembe la kutuvusha hapa kwenye mkwamo Wa kiuchumi mwakani.
Endeleeni kuota
Mwakani wapinzani watamkoma
Rich Pol;
Wapinzani hawata mkoma bali yeye ajiandae kisaikolojia kwani atawakoma wapinzani hao unao wasema. Poleni ccm, hivi yawezekanaje kama **** pilao sinia zima hapo mezani, niiache ati nirudie matapishi nilo yatapika, kisa ati nimeona nyama mle??? Si mlitaka hata kumvua uanachama nyiye?? Leo EL kawa dhahabu?? CCM, nani aliye waroga ninyi?? Hakuna mwingine humo?? Kama ni umasai, si mmchague hata Ole sendeka??
Kamwe, kura yangu hata ka yeye ndo wa mwisho, ntaivutia bangi pale policcm
Lowasa ndiye jembe la kutuvusha hapa kwenye mkwamo Wa kiuchumi mwakani.