Lowaasa Aiteka Zanzibar Xmass

Lowaasa Aiteka Zanzibar Xmass

Kumbe walikuwa wanaimba na kupiga makofi mbona Edo haimbi na njemba nyeusi hapo nyuma haiimbi
 
Hata nanii wake ni kifaa!.

Nitamshauri yule "Salva" wake, kwa mwaka wote ujao, kama ilivyo Mama anamsindikiza baba Lutherani, mwakani ni zamu ya baba kumsikiza mama Katoliki, si unajua tena kuhusu rais wa Tanzania, akiwa Mkristu ni lazima awe Mkatoliki, ndio maana ilipobainika Membe hauziki Kabisa, wakamshauri Pinda aingie, huku fallback position ikimsubiria Magufuli!, na matayarisho ya Mkatotoliki yalienda mbali, ili hata CCM ikiamua 2015 ni zamu ya Mwanamke, kama walivyofanya kwenye uspika, then yule "mama yetu" ndio aliandaliwa na zile "sadaka" kutoka kwa 'brother' zilikuwa ndio za dhumuni hilo!.

Unaadaliwa waraka wa Kikatoliki kutoka Vatican, kuwa mtu yoyote aliyeoa Mwanamke Mkatoliki, na kuhudhuria ibada kanisa Katoliki, atahesabiwa ni Mkatoliki, na hapo ndipo pekee anapoweza kuponea!.

Merry X-Mass

Pasco
 
ama kweli siasa ni mchezo wa propaganda tu
Hata nanii wake ni kifaa!.

Nitamshauri yule "Salva" wake, kwa mwaka wote ujao, kama ilivyo Mama anamsindikiza baba Lutherani, mwakani ni zamu ya baba kumsikiza mama Katoliki, si unajua tena kuhusu rais wa Tanzania, akiwa Mkristu ni lazima awe Mkatoliki, ndio maana ilipobainika Membe hauziki Kabisa, wakamshauri Pinda aingie, huku fallback position ikimsubiria Magufuli!, na matayarisho ya Mkatotoliki yalienda mbali, ili hata CCM ikiamua 2015 ni zamu ya Mwanamke, kama walivyofanya kwenye uspika, then yule "mama yetu" ndio aliandaliwa na zile "sadaka" kutoka kwa 'brother' zilikuwa ndio za dhumuni hilo!.

Unaadaliwa waraka wa Kikatoliki kutoka Vatican, kuwa mtu yoyote aliyeoa Mwanamke Mkatoliki, na kuhudhuria ibada kanisa Katoliki, atahesabiwa ni Mkatoliki, na hapo ndipo pekee anapoweza kuponea!.

Merry X-Mass

Pasco
 
regina-lowassabc.jpg download (1).jpg regina.jpg
 
Kwa kweli amevaa shati kihuni huni kama rapper.Mke wake Regina anatakiwa ahakikishe mumewe edo anakuwa smart anavaa vizuri...sasa uvaaji gani huo..hana personality!
Kumbe wewe ndio hujui!, when in Rome!, hakuvaa tai makusudcally kwa zababu huko sio eneo la wavaa tai!, tena nadhani akitoka tuu nje ya kanisa ni kibalaghashia kinapanda hapo kichwani!.

Mimi kwa mfano kijiji kwangu kule deep interior ni rumba kali, nikitia timu kule, nabeba nguo zilizopauka na kuchoka choka ili nifananie na wa kule!.

Merry X-Mass

Pasco
 
Wajameni kiukweli kuna picha nyingine ukiangalia too unakuwa revitalized!, mimi krismass yangu ya leo, naiona iko gloomy gloomy kwa sababu imenikuta 'apeche alolo!', lakini baada kuangalia picha hizi, najisikia brigtened a bit, hivyo they made my day!. Nchi zikiongozwa na watu wenye karama kama hizi, wananchi wote wanakuwa revitalised with positivity kujiletea maendeleo huku taifa zima as a nation linakuwa brightens up, lina shine kiuchumi na hadi kupaa!.

Huu umasikini wetu ni wa kujitakia tuu kwa kuwachagua watu ambao sio!, hata hivyo kufanya kosa sii kosa, kosa ni kurudia kosa, 2005 tulifanya makosa na kipindi chote hiki ndio tumekuwa tukilipa fidia ya makosa yetu!, 2015 tusikubali tena kifanya makosa au kurudia kosa!.

Merry X-Mass

Pasco
 
Back
Top Bottom