Hamuogopi, bali anaogopesha!. EL amejaaliwa kitu kinachoitwa karama ya kukubalika ambayo JK hana!.sijui kwa nini jk anamuogopa lowassa
Subiri listi ya Stanbic bank.
Alafu naye mhuni tu. Angalia shati hapo kifuani kaacha kifua wazi ka wahuni wa bongo fleva mh Tanganyika tuna safari ndefu ati huyu naye aje awe rais makubwaa
Hamna tabu..Inashangaza ataivyo mkewe Regina ni mkatoliki. Hapo anaganga tu
Mh. Lowassa ahudhuria ibada ya Krismas Zanzibar leo
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akizungumza katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania la Mwanakwerekwe, mjini Unguja, Zanzibar alipohudhuria ibada ya Sikukuu ya Krismasi leo. Kulia ni Mchungaji wa Kanisa hilo, Philip Mvungi.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa na mkewe Mama Regina Lowassa wakiwa na mjukuu wao, Angelica Freddy wakisoma Biblia katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania la Mwanakwerekwe, mjini Unguja, Zanzibar walipohudhuria ibada ya Sikukuu ya Krismasi jana.
Kwa kuitazama hii picha, utakubaliana na mimi jamaa ni still going strong!, kazi ya urais sio kubeba zege!, kitu kizito kabisa ambacho rais anapaswa kuwa na uwezo wa kukibeba ni microphone kama hapo!, tena only pale inapobidi!.
tena kwa unyenyekevu kisa eti kachangia ujenziViongozi wa dini wamenifanya siku hizi niache hata kwenda kanisani, nibaki nasali kivyangu nyumbani. Imagine uko kwenye hiii misa umeenda kusali na badala yake anatokea mzee lusfa mwenyewe kama huyu anapewa mic asimame madhabahuni!....
Ile list si ndio wapo hadi kina riz1? Hio list hatutokuja kuiona kamwe.. Tutapigwa dana dana na sisis tutakaa kimya ka kawaida ya wa tz wote tulivyo
Prove me wrong!!!
Joto la Z'bar unalijua?Kwa kweli amevaa shati kihuni huni kama rapper.Mke wake Regina anatakiwa ahakikishe mumewe edo anakuwa smart anavaa vizuri...sasa uvaaji gani huo..hana personality!
Kwa kuitazama hii picha, utakubaliana na mimi jamaa ni still going strong!, kazi ya urais sio kubeba zege!, kitu kizito kabisa ambacho rais anapaswa kuwa na uwezo wa kukibeba ni microphone kama hapo!, tena only pale inapobidi!.
Nimeisha mshauri yule 'Salva' wa EL, jamaa akiingia ni vihotuba vifupi vifupi maximum 3 pages only na sio mijihutuba mirefu very boring kama ya JK!, tena sio kwenye mijikaratasi, EL akiingia anaingia na ECO Government na E-Government, kwa sera ya paperless!, mambo ni kwenye I pad air, na transparent teleprompters kama Obama!.
Merry X-Mass
Pasco
ila mkewe mashaalaa jamani, uvaaji huu ni masharti pia ya kamati yakeKwa kweli amevaa shati kihuni huni kama rapper.Mke wake Regina anatakiwa ahakikishe mumewe edo anakuwa smart anavaa vizuri...sasa uvaaji gani huo..hana personality!
kanisa linashiriki hadi kutakasa pesa chafu kama Mkombozi bank walivyofanya na maaskofu wanapokea migao ya pesa hizo haramu.hawa wa dini siku hizi hawaaminiki tena
Joto la Z'bar unalijua?