nyie hamuoni huyu shemeji ni mgonjwa???
akipata uraisi huyuuuu nahama bongo.
Mbona hajavaa kwa unyenyekevu na anajua wazi kuwa yuko kwenye nyumba ya ibada?! Anaacha wazi kifua chake ili iweje?
Ukishakuwa mtu mzima ni lazima ukubali kuishi kama mfano kwa watu uliowazidi umri na kuwa kama wanao. Sasa kwa uvaaji huu katika ibada nijifunze nini toka kwake?
Ova
atamtonesha tez ,,,,,,!!!sijui kwa nini jk anamuogopa lowassa
Mbona hajavaa kwa unyenyekevu na anajua wazi kuwa yuko kwenye nyumba ya ibada?! Anaacha wazi kifua chake ili iweje?
Ukishakuwa mtu mzima ni lazima ukubali kuishi kama mfano kwa watu uliowazidi umri na kuwa kama wanao. Sasa kwa uvaaji huu katika ibada nijifunze nini toka kwake?
Ova