Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Huwa unavuta sana uwepo wa MunguYes wizo
Huwa unavuta sana uwepo wa MunguYes wizo
Asije akazua tafrani🤣🤣🤣Siku akipatikana huyo babe nitamkalisha kikao kwanza.
Siri yetu 😂😂😂Alitaka kutapeliwa nin 😂😂
Ni miyeyusho daddy tuseme aminaNipo binti yangu.
Joanah ndiyo kanisababisha nifike huku ili kushuhudia mapenzi ya kweli ambayo tumeaminishwa na ulimwengu kwamba siku hizi hayapo.
Kwema huko kwako? Vipi true love ipo huko uliko au ni miyeyusho tu?
Oyoooooo!! Tupe raha wataje bestTutawataja hapa ambao walikubali kuliwa kwa kutaka Mahondaw aachike mara ya kwanza. Leo hii, mtoto wa watu amepambana hadi kimeeleweka, mnaanza kumponda. Mshindi kwa leo hapa JF ni aliyerudisha goli si kufunga goli. Bisha
Utaharibu hali ya hewa na kuvuruga uzi mkuu acha shetani apite mbali tu Nakuomba nakuomba tena please!🙏🙏Tutawataja hapa ambao walikubali kuliwa kwa kutaka Mahondaw aachike mara ya kwanza. Leo hii, mtoto wa watu amepambana hadi kimeeleweka, mnaanza kumponda. Mshindi kwa leo hapa JF ni aliyerudisha goli si kufunga goli. Bisha
Shoga tutacheka vzr chemba 😂😂😂😂
Nacheka km mazuri
Kwa hiyo mnamfanyia makusudi?Yesu wa Upendo.
Udugu tulia, kwan uzi ukifungwa c utafunguliwa mwingine.?? 🤣🤣🤣Utaharibu hali ya hewa na kuvuruga uzi mkuu acha shetani apite mbali tu Nakuomba nakuomba tena please!🙏🙏
Kufunguka ni muhim ujueKwamba afunguke chako🤣
Utalia ila namheshimu Mahondaw maana alilia sana. ByeOyoooooo!! Tupe raha wataje best
🤣🤣🤣 wambea kaeni kwa kutulia kuna list inakuja, ukitajwa usinune kunywa maji ushushe presha..!!!
Dj lete vitu
Ila anajua kuwachezea akili bwana.
Mimi nisingekubali kujidhalilisha hivi in the name of love. Yani sawa mtu anacheat ila anaenda kukusema kwa wenzio na anarudi unampokea.
Wanawake sisi![]()


Wanawake wasio na akili hawwezi kuwaza hiloIla anajua kuwachezea akili bwana.
Mimi nisingekubali kujidhalilisha hivi in the name of love. Yani sawa mtu anacheat ila anaenda kukusema kwa wenzio na anarudi unampokea.
Wanawake sisi![]()
Nani hana pa kwenda?? 😜Inatokea kama huna pa kwenda unafanyaje![]()
Inabidi niache mzee mwanzangu🤣🤣🤣Mzee mwenzangu una kauchokozi flani hivi🤣🤣
Na kweli. Kuna wanawake wakiambiwa wanapendwa wanaamini wameonwa ni wazuri.Hii yote inachangia na Umaskini,kutojitambua,sifa nionekane mimi wa maana au viwango![]()
Aah hapana,ni vizuri kuuliza jambo linalokutatiza Mzee mwenzangu usije pata goita😂😂Inabidi niache mzee mwanzangu🤣🤣🤣