Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,108
- 41,776
Mzuri nipo poaDogo upo? Za kupotea?
Za nyuu iya? 🤣🤣🤣🤣
😂😂Niko hapa 🪑🪑🪑Nasubiri come back ya wifi yangu ndo nitaondoka 😂😂😂
😂🤣🤣🤣🤣 Ww shukuru nimekusanua, ulikata visa ya kwenda mkoani ujue!!
Nakwambia tena😁😁😁😁 Nyie mnaosemaga hivi ndio mko kwenye mahaba ndindindi sema wasiriiiiii
Aah nawe ni walewale?🤣🤣🤣🤣Kwani Kuna sehemu Yesu kasema Binti zake tusile ubuyu
Alitaka kutapeliwa nin 😂😂We nawe itabidi nikuanzishie uzi ulivyotaka kutapeliwa 😂😂😂
Mbona wao wanakuja kutuchamba wanawake
That being said, it can get better!It will never be the same again.
Nipo napambana mahi hadi nisome wote, haiwezekani mimi kila siku wakupitwa na nyuzi za hivi😂Poleee
Mpk umakize 3 hrs
Yesu wa Upendo.Aah nawe ni walewale?
Yesu mnamuona muhuni flani ee😂😂
Sawa,ngoja na wewe siku bby Alewe kama mleta mada aje hapa ayabwage😆😆😆😆Nakwambia tena😁
Ila anajua kuwachezea akili bwana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila inakata sana kuwa na mwanaume mwenye wanawake wengi utavimba humu jf na kujikakamua kuwarusha roho watu kumbe unajichafua kuaibika huku moyon huna raha kabisa na huwezi kuwa na raha
Siku akipatikana huyo babe nitamkalisha kikao kwanza.Sawa,ngoja na wewe siku bby Alewe kama mleta mada aje hapa ayabwage😆😆😆😆
Nilitaka kushangaa kipenzi ni lini umeanza kukaa kimya pindi ukorofishwapo😁😁😂😂😂😂 ntashushuliwa na nani? Wee mbona siku hyo ban itanihusu wallah
Kweli aisee. Na usiombe mwanaume akujue huna akili atakutumia na wewe kwa vile huna akili unajua ndo mapenzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwanamke asiye na akili hata kumchamba ni kazi bure!
Hapa duniani kosa vyote lakini usikose akili, kujipenda na kujithamini!
View attachment 2892626
Umeanza lini kunywa k venga?Hahahahaha wameanza vzr mno gear #5 wameanza nayo...leo mm ni bando tu na K vant yangu pembeni naperuzi na kudadisi tu
Nguo ya kuazima majibu unayajua, ni suala la muda tu.That being said, it can get better!
Still implies your expression; “it will never be the same again”.
Hii yote inachangia na Umaskini,kutojitambua,sifa nionekane mimi wa maana au viwango🐒Ila anajua kuwachezea akili bwana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nisingekubali kujidhalilisha hivi in the name of love. Yani sawa mtu anacheat ila anaenda kukusema kwa wenzio na anarudi unampokea.
Wanawake sisi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni vyema ukafuta hii statement maana rafiki yako alijinyakulia Smart911 na leo ni kilio kwenu. BishaIla anajua kuwachezea akili bwana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nisingekubali kujidhalilisha hivi in the name of love. Yani sawa mtu anacheat ila anaenda kukusema kwa wenzio na anarudi unampokea.
Wanawake sisi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]