Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

furaha yako ni kuona watu wanachachuka tu " yu donti wanti pisi,, yu wanti plobulemu oluweziii
Yaan wee hukumbuki wakati ule team pinzani wakiwa madarakani, jinsi mtifuano ulivyokua unatoka chama tawala? Tena mie chawa mkuu nilikua winja winja kusebenzua team pinzani had mwenyekiti wao

Sasa chama tawala kiko ikulu, wao wapinzani wanapoajee bhana? Nchi haiendeshwi kipoleee ni full mnyukano.
 
Team pinzani nawachachua makusudi warushe makombora nao humu, wanakubali vipi kuwa wanyongee? Yaan huu uzi unatakiwa kuwa bampaa to bampaaa hakuna kupoaaaa.

Vita ni vita muraaaaaaa,
Uzi umepoa Sanaa....natamani Mimi ningekuwa muasi Leo hapa pangewaka moto,,,mbona Melo angetoa tamko.... haiwezekani kabiisaa wakae kimya..mi ningekuwa nawajua ningewafuta PM kuwahamasisha mgomo🤣🤣🤣🤣Ningetoa bonge la dis track
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom