cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,132
Si kwetu shangwe tuu..tunacelebrate na wapendanao...naona mwezi wa malavidavi wameuanza vizuriHahahahaha.,hahahahahaha,Morning too , Rafiki...naona Saturday ( satoo ) imegonga tena
Nitangulize hata mimi ndugu yako hapa,Hadi shemeji aone wivu.ni mtangulizie nani
ila wew mbishi utafikiri unatumia usafir wa treni kwenda kwenu
Bila shaka wewe ni mzaramoSi huyo Smart alikuwa anagombaniwa, nasikia anahonga balaa..!! Yupo BOT 😜🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃
Et maokotoo 😂😂😂😂😝😝😝😝wee uduguu mbona unaniharibiaa sasa? Hujui shem ana maokotoo? Au unataka nikose kuspoiliwa?
Jamani vibayaa hivyoo kusagiana sumu.
Yaan wee hukumbuki wakati ule team pinzani wakiwa madarakani, jinsi mtifuano ulivyokua unatoka chama tawala? Tena mie chawa mkuu nilikua winja winja kusebenzua team pinzani had mwenyekiti waofuraha yako ni kuona watu wanachachuka tu " yu donti wanti pisi,, yu wanti plobulemu oluweziii
![]()









Uzi umepoa Sanaa....natamani Mimi ningekuwa muasi Leo hapa pangewaka moto,,,mbona Melo angetoa tamko.... haiwezekani kabiisaa wakae kimya..mi ningekuwa nawajua ningewafuta PM kuwahamasisha mgomo🤣🤣🤣🤣Ningetoa bonge la dis trackTeam pinzani nawachachua makusudi warushe makombora nao humu, wanakubali vipi kuwa wanyongee? Yaan huu uzi unatakiwa kuwa bampaa to bampaaa hakuna kupoaaaa.
Vita ni vita muraaaaaaa,![]()
wee uduguu mbona unaniharibiaa sasa? Hujui shem ana maokotoo? Au unataka nikose kuspoiliwa?
Jamani vibayaa hivyoo kusagiana sumu.



dada ameshakuombea msamaa we tulia tu shogileeeeeeNdiwoooo, yuko BOT ujue?Et maokotoo![]()






kuacha kusukuma ndinga mchezoo? Wee kuwezaa?Yaani sipitwi🤣🤣Na usipitwee kabisaaa.![]()
dada ameshakuombea msamaa we tulia tu shogileeeeee



bado siamini ujuee, shemelaa nilimkandiaa mnooowasapoti tu mwayahakuna namna sema usiikandie sana tim pinzani kwan yenyew sio ya kwanza kushindwa au kutoka mchezoni
![]()


🤣🤣🤣🤣 Umenichekeshawamesarendaaaa? Wapo huko chimbo wanajifuaaa wakija kumkwapua sahivi hawamuachiii kamwee.
Unawajua waasi kwa upinduaji hasa ukiwa kurupushaaa?
![]()
Uzi umepoa Sanaa....natamani Mimi ningekuwa muasi Leo hapa pangewaka moto,,,mbona Melo angetoa tamko.... haiwezekani kabiisaa wakae kimya..mi ningekuwa nawajua ningewafuta PM kuwahamasisha mgomoNingetoa bonge la dis track



hebu sema kweliii, 



Loving you Joanah
🤣🤣🤣Kumbe Leo aibu yako?sema Mtu mwenyewe huna hata aibubado siamini ujuee, shemelaa nilimkandiaa mnooo
Yaan daaah bas tyuuh, cna namnaa mimiii