Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,346
Hujui kitu kumbeWapi wewe wakat bwana ake antonia alirud nchini ikabid penz life kwanza naona msoja kasepa tena penz limerud
Ila ni kama uyo bwana smart uchum wake uko njema sana
Wakaka wenzangu money can buy happiness
Si huyo Smart alikuwa anagombaniwa, nasikia anahonga balaa..!! Yupo BOT 😜🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃Mwanaume gani?? Mwaka huu ndio nipo huku MMU so mengi yananipitaga. Can you tell me what Happened pls?
Wakuu nikifika hii hatua mnipige hadi nizime....then mnifunge jiwe mkanitupe baharini familia wataokota mabaki ya mwili wangu watauzika






Daah! Hatari sana
Unaeza kujikuta umemnyima mchezo Watu8 akaamua kujivua gamba akajiita Shimba ya Buyenze akakupata
Mie ndio maana naambia watu ukiamua kumkataa mtu humu basi wakatae wote tu manake unaweza kujikuta unazunguka bure tu





Ila maua Ntakuchapa 🤣🤣🤣Niweke kwenye umbeya basi naomba password nami niende na moja basi
Usiharibu uzi wa mahaba ya watu wala usihis kama ntachukia au kupanick mwezi mchanga ni jadi Yako🤣🤣Mfupi kama kitenesi hufiki chini upo juju . Wewe ni jambo ndogo
Hello beautiful
Hataree!! Famchezo kupambana na kikosi chote kile cha waasi 😂😂😂😂Kwakweli tupewe maana si mchezo
Watu wa kijiwenongwa hatuna mbambambaWambea tunajali basi!uswahilini kwetu kijiwenongwa kusutwa Sunna😁😁😁😁
Kikosi kilikuwa cha moto si mchezo 🤣🤣🤣🤣 kinarusha makombora tu shwaaaHataree!! Famchezo kupambana na kikosi chote kile cha waasi 😂😂😂😂
Naendelea kuchukua samari ya wanaume wa JF 😂😂
Hamna....Yan jf ukimpa me mmoja Sawa tuu umetupa wote. Sisi ni kitu kimoja
Kile kikosi noma 🤣🤣🤣Kikosi kilikuwa cha moto si mchezo 🤣🤣🤣🤣 kinarusha makombora tu shwaaa
Oooooh kumbeNafukua makaratashi ya vibuti Intelligent businessman ulitoa post kwa Lovelovie kipenzi changu akakutema kisa una umbo kama la mangi 🤣🤣🤣🤣 kipara peh kama cha pimbi, unavaa vishati vya ajabu ajabu unatisha unahema hema na kuongea haraka na kuvaa miwani kama enzi za ko za milembe umetoka tu ukatangaza nia ndio maana ukakataliwa mwenzio aliogopa kama hujapona vizuri.