Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Ni kweli inaonyesha jamaa ameshikiwa kisu kutoa hii post halafu mwisho wasiku hata hilo penzi hapewi usiku humu wanaume wa humu wanaringaga sana . Sana mie nimeacha kiherehere kila daily post zisizo za msingi. Nje wapo wengi tu hawaringi kama hawa wanajitambua sura ni matata hadi raha . Humu umkute anahiyo sura utalia
Sikiliza humu kuna wanaume manipulator wanacheza na hisia zako wanakufanya ujihisi speacial kumbe wala you are not the one mama,unakuta mtu ameoa Halaf anakufanya ujihisi wewe ndio mkewe Nawe unaingia kingi lakin mwenzio anajua anachojifanya anakuweka weka akutumie kwenye michezo yake ,hapo unapoteza muda na kujizibia mtu sahihi kwako atakaekupenda kwa moyo mmoja. Na hii ni wanawake wengi tu wanapitia sasa unakuta labda hujapata mtu sahihi unakuwa unajiambia labda atabadilika lakin wapi unaogopa kuwa mpweke wakati ungekuwa mpweke akajitokeza yule sahihi wako ,unakuta kuna mtu anakupenda kwa dhati ila akiona uko na mwingine anakata tamaa,ni bora ubaki single kuliko kuwa na mtu ambae sio sahihi kwako
Pia hao wanaume manipulator ni wana matatizo ya akili pia huwa hawapo sawa kiafya ya akili
 
ila coca unajua kukera khaaa sema mnajuana nyiee,, maan nmeshangaa kuona unamsapoti shost ako kweny huu uzi wakat selfika2 ulikua unamchamba kuhus penzi lake siku mambo yakibadilika najua lazima umgeuke na kicheko juuu.
sasa uduguu ntafanyaje mie? Maana niliambiwa yeye ni mkubwa na anajua nn anafanya, wapendanao wakigombana, wengine mshike jembe mkalimeee.

Ndo nimejua hivi karibunii maana yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom