Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa uduguu ntafanyaje mie? Maana niliambiwa yeye ni mkubwa na anajua nn anafanya, wapendanao wakigombana, wengine mshike jembe mkalimeee.

Ndo nimejua hivi karibunii maana yake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

naamini umekoma kwa herufi kubwa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sema nawaz siku majeshi yakipinduka utaweza kubaki njia kuu au na wew utaham kambi uanze mashambulizi upyaaa[emoji108][emoji23][emoji23][emoji23]
 
naamini umekoma kwa herufi kubwa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sema nawaz siku majeshi yakipinduka utaweza kubaki njia kuu au na wew utaham kambi uanze mashambulizi upyaaa[emoji108][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naomba nisiseme kitu, tusubiri siku husika itakuajee.
 
wasapoti tu mwaya[emoji38][emoji38] hakuna namna sema usiikandie sana tim pinzani kwan yenyew sio ya kwanza kushindwa au kutoka mchezoni[emoji23][emoji3]
Team pinzani nawachachua makusudi warushe makombora nao humu, wanakubali vipi kuwa wanyongee? Yaan huu uzi unatakiwa kuwa bampaa to bampaaa hakuna kupoaaaa.

Vita ni vita muraaaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Team pinzani nawachachua makusudi warushe makombora nao humu, wanakubali vipi kuwa wanyongee? Yaan huu uzi unatakiwa kuwa bampaa to bampaaa hakuna kupoaaaa.

Vita ni vita muraaaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] furaha yako ni kuona watu wanachachuka tu " yu donti wanti pisi,, yu wanti plobulemu oluweziii[emoji1316][emoji16][emoji16]
 
huyu hana mshipa wa aibu[emoji2][emoji2][emoji2] alf hauoni kaanz kutengenez njia ya kuoneakan mwema mapema mnooo maan kajirudisha kwa dada ake[emoji28] alf dada atamaliz kila kit kwa shemej[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee uduguu mbona unaniharibiaa sasa? Hujui shem ana maokotoo? Au unataka nikose kuspoiliwa?
Jamani vibayaa hivyoo kusagiana sumu.
 
Back
Top Bottom