cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,130
Washamuachia bana![]()



wamesarendaaaa? Wapo huko chimbo wanajifuaaa wakija kumkwapua sahivi hawamuachiii kamwee.Unawajua waasi kwa upinduaji hasa ukiwa kurupushaaa?




Washamuachia bana![]()



wamesarendaaaa? Wapo huko chimbo wanajifuaaa wakija kumkwapua sahivi hawamuachiii kamwee.



Dadaangu mmUkilogwa hatukupeleki kukuagua ujue shauri yako 🤣
Mi Sina jicho la umbea bwana mlongoMimi Hadi nimeamkia hapa nikajua nitakuta mmeshawataja



kaa kwa kutuliaa, watakuja so mda.Huhuu kwa hiyo unamtazamaje shemeji 😂😂Wanasema mambo yao muwaachie wenyewee![]()
sasa uduguu ntafanyaje mie? Maana niliambiwa yeye ni mkubwa na anajua nn anafanya, wapendanao wakigombana, wengine mshike jembe mkalimeee.
Ndo nimejua hivi karibunii maana yake.![]()



sema nawaz siku majeshi yakipinduka utaweza kubaki njia kuu au na wew utaham kambi uanze mashambulizi upyaaa



sasa waja hebu semeni mnataka nifanyejee? Wenyewe wameamua kurudianaa, niwasapoti tyuuh

hakuna namna sema usiikandie sana tim pinzani kwan yenyew sio ya kwanza kushindwa au kutoka mchezoni

wamesarendaaaa? Wapo huko chimbo wanajifuaaa wakija kumkwapua sahivi hawamuachiii kamwee.
Unawajua waasi kwa upinduaji hasa ukiwa kurupushaaa?
![]()






Hivyo hivyo sasa ntafanyajeee, ila ushunguuuuuHuhuu kwa hiyo unamtazamaje shemeji![]()




naamini umekoma kwa herufi kubwasema nawaz siku majeshi yakipinduka utaweza kubaki njia kuu au na wew utaham kambi uanze mashambulizi upyaaa
![]()




naomba nisiseme kitu, tusubiri siku husika itakuajee.ni mtangulizie naniHamna kitu,
Tanguliza hiyo thread,acha maneno mengi.
Team pinzani nawachachua makusudi warushe makombora nao humu, wanakubali vipi kuwa wanyongee? Yaan huu uzi unatakiwa kuwa bampaa to bampaaa hakuna kupoaaaa.wasapoti tu mwayahakuna namna sema usiikandie sana tim pinzani kwan yenyew sio ya kwanza kushindwa au kutoka mchezoni
![]()





Hahahahaha.,hahahahahaha,Morning too , Rafiki...naona Saturday ( satoo ) imegonga tenaMorning! Hamna kitu unanifurahisha kama cheko lako
Huhuu kwa hiyo unamtazamaje shemeji![]()


alf hauoni kaanz kutengenez njia ya kuoneakan mwema mapema mnooo maan kajirudisha kwa dada ake
alf dada atamaliz kila kit kwa shemej
Ushunguuu mwingiii poleHivyo hivyo sasa ntafanyajeee, ila ushunguuuuu![]()
Hata ingekuwa wewe ungefanyaje 😂😂😂😂huyu hana mshipa wa aibualf hauoni kaanz kutengenez njia ya kuoneakan mwema mapema mnooo maan kajirudisha kwa dada ake
alf dada atamaliz kila kit kwa shemej
![]()
Team pinzani nawachachua makusudi warushe makombora nao humu, wanakubali vipi kuwa wanyongee? Yaan huu uzi unatakiwa kuwa bampaa to bampaaa hakuna kupoaaaa.
Vita ni vita muraaaaaaa,![]()




furaha yako ni kuona watu wanachachuka tu " yu donti wanti pisi,, yu wanti plobulemu oluweziii


Siondoki Leo hapa,sitaki kupitwa😃😃😃kaa kwa kutuliaa, watakuja so mda.
Hata ingekuwa wewe ungefanyaje![]()


hakuna namna ni kujirudi tu kama kifaranga cha kukuhuyu hana mshipa wa aibualf hauoni kaanz kutengenez njia ya kuoneakan mwema mapema mnooo maan kajirudisha kwa dada ake
alf dada atamaliz kila kit kwa shemej
![]()




wee uduguu mbona unaniharibiaa sasa? Hujui shem ana maokotoo? Au unataka nikose kuspoiliwa?