cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,132
Hebu chafukwa useme da maua 🤣🤣🤣Wewe mtoa mada hivi ninani?? Halafu hajanijibu mwambie anijibu comment yangu sijui nikuambie au niache . Ngoja niache nikiwa nimechafukwa nitakuambia . Mie sikujui ni ID tu ila kuna jambo nitakuambiaga tu.
Aririiiiiiiiiiiiiiiii!!!!I am so thankful for you and the love we share my king
.
Thank you for being my partner in life and for the love you bring to our love.
I am grateful for you every day and for the love that has grown between us Smart911
Am so grateful for your love. Thank you for loving me unconditionally swirrrrrrryyyyy
I am so blessed to have you Smart You are so ameizing so wonderful my bebiiiThank you for loving kimimii
Ailaaavvvvyuuuuuuuuuuuuuuuu smart wanguuuuuu!



Kwahiyo utatutetea mjeda akianza kuturusha vichura?? Wenzio tushasahau mambo ya jeshi ujue![]()





Da maua lala bwana 😆😆😆😆😆Mie simtaki hata kidogo sijawahi muwazaga humu nikihitaji ndoa napata ila namsimamo dear watasema!mengi ila ipo siku nitakushauri jambo urakuja nishukuru sana .
Toa ushauri leo da maua hiyo siku wengine tutakuwa busyMie simtaki hata kidogo sijawahi muwazaga humu nikihitaji ndoa napata ila namsimamo dear watasema!mengi ila ipo siku nitakushauri jambo urakuja nishukuru sana .
Comment ya mwanzo nilitaka kuandika hivi ila nikaona nisiende kinyume na flow...Hahaha hapo utakuwa unauliza ndevu kwa Osama mzee mwenzangu...
MxxxxiiiieeeewWw mganga fake
Coca tu umeshindwa kumdhibiti mpk anachukuliwa na kina kirikou Fabian Vitusndo utaweza kunirogea yule jamaa??




Mi wanipe mambo ya nje niwe nazurura nishinde nachafua passport 😂😂😂machawa tusisahaulike ktk hii awamu,
Nafasi ya u PM inanifaaa kabisaaa. Afu naimuduu.
🤣🤣🤣🤣 unalo uduguMxxxxiiiieeeew
Huyo kirikou mie nimpeleke wapiii? Yeye mganga hajigangi hujui hili uduguuu? Au unatakaaa kusemajeee?
Eee ndo hivo wifi yangu, nasikia coca alimuita shemeji yake sele wa mbosso eti![]()




mbavu cna kwa kuchekaaaa, jamani kwann hivi?Ah safiWengi nasikia sina uwakika alikuwa wengi wanampigania
Nimezipata habari zako, unamuita shemejio sele wa mbosso 🤣🤣🤣🤣mbavu cna kwa kuchekaaaa, jamani kwann hivi?
🤣🤣Kumekucha Kumekucha
Udugu Mahondaw umeweza, mganga wako sio muongo.!! Nipe namba zake 😂😂😂😂
😂😂😂una nn lakinii wee?
Mi wanipe mambo ya nje niwe nazurura nishinde nachafua passport![]()



afu ndo nn kusagiana kunguni? Unataka nikose teuzi ktk hii awamu? Wanasiasa sio wa kuwaamini