Love story (True story)

Love story (True story)

Its obvious she was loose. Typical of some Tz women. Eti she 'had'someone but was so free. Hapo hapo anasema in her heart she knew she was committed to someone yet it didnt stop her from screwing with someone she had just met.

Im of the opinion that she has a pea sized brain.
 
is she from TA??....nada!!!

nadhani ni mtoto wa Malinzi, na kina Malinzi ni wazee wa Kagera huko...

Aaah mkuu watu8 hata kumtizama tu kwa macho ya uhalisia sie mwenzetu wa tanga yule
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Daudi1 upo? Kuna true story huku.
Aiseee nimekuja hawa wanawake tunaokota barabarani hawa tuwaangalie sasa hapo anamchafua mbunge wetu au anajichafua yeye mwenyewe? maana kama alikuwa na mchumba mjeremani halafu anasema anajitunza huku analiwa na Jimmy bila kuwepo na mpango wowote yeye akidai having fun aiseee na huyu sugu wa kutafuta mtoto kumbe wanawake siku hizi ndo mko hivi? yaani unakuwa na mchumba ambaye atakuoa then unakuwa na mwingine wa starehe dah! haya makubwa, Angelicious njoo hapa uniambie unao wangapi na unipe mchanganuo kabisa mimi niko kwenye kundi lipi kati ya hayo matatu
 
Aiseee nimekuja hawa wanawake tunaokota barabarani hawa tuwaangalie sasa hapo anamchafua mbunge wetu au anajichafua yeye mwenyewe? maana kama alikuwa na mchumba mjeremani halafu anasema anajitunza huku analiwa na Jimmy bila kuwepo na mpango wowote yeye akidai having fun aiseee na huyu sugu wa kutafuta mtoto kumbe wanawake siku hizi ndo mko hivi? yaani unakuwa na mchumba ambaye atakuoa then unakuwa na mwingine wa starehe dah! haya makubwa, Angelicious njoo hapa uniambie unao wangapi na unipe mchanganuo kabisa mimi niko kwenye kundi lipi kati ya hayo matatu

Kweli mkuu na kwanini uyafute msichana kutoka facebook huko amekutana na wangapi?
 
Bibi asemacho doctor ni kweli.Yule ni mhaya sema mama yake mtanga ndio maana kinajishaua kuwa ni kitanga

Aliona wapi mtoto akachukua kabila la mama??? Sijawah ona.ndo kwanza kwake halaf me ananiboaga kule kubana pua kibaya zaidi my gk my king my gk on my ass!!! Lol ptuuu ile redio siku hizi sina.hata habar nayo kwa kweli
 
Aliona wapi mtoto akachukua kabila la mama??? Sijawah ona.ndo kwanza kwake halaf me ananiboaga kule kubana pua kibaya zaidi my gk my king my gk on my ass!!! Lol ptuuu ile redio siku hizi sina.hata habar nayo kwa kweli

Ndio hivyo kujisifia kuwa mtoto wa tanga mapenzi anayajua ili apate mabwana na kubana pua si ndio kufanya mabazaz wampende.Kuliko kumsikiliza huyo dada bora nijibiishe kutafuta mtoto......lol
 
Back
Top Bottom