Love story (True story)

Love story (True story)

SEHEMU YA 007:
Nikamwambia,kiukweli nimehathirika ndio maana nikataka kujua kama ulitumia condom maana wanyakyusa wanakutegemea,cha ajabu akatabasamu na kisha akatoa kauli iliyonishitua,eti ngoma drow maana na mimi nshaumia kitambo......
 
SEHEMU YA 007:
Nikamwambia,kiukweli nimehathirika ndio maana nikataka kujua kama ulitumia condom maana wanyakyusa wanakutegemea,cha ajabu akatabasamu na kisha akatoa kauli iliyonishitua,eti ngoma drow maana na mimi nshaumia kitambo......

Mkuu story hii haija base kuumizana kwa ngoma.
 
Halafu huyu dada ni muongo ametumwa tu kumchafua sugu,kwa SBB kwenye maelezo take anajichanganya
1)kwanza mwanzoni kasema alikuwa na boyfriend wake yuko nje ya nchi,sasa hivyo alikuwa kama yuko single,sasa huyo jimmy mbona hakumsema??hii inatupa jibu yeye ni kahaba kama makahaba wengine,atakaemuopoa ndo huyo huyo!!
2)kuna sehem kasema ye alikuwa MTU wa kujichunga hivyo sugu alipotembea nae bila kinga alijilaumu!!sasa kama alikuwa MTU wa kujichunga iweje awe na wasiwasi wa kuwa kaambukizwa gonjwa LA zinaa na jimmy kama kweli ye anatumiaga condom?kama sio pepo LA ngono linamtesa?
3)pia anasema anamlaumu cousin wake kumwacha na mwanaume akiwa amelewa wakati kule mwanzo amesema siku ya kwanza kukutana na sugu walifanya na alien joy sana,sasa siku ya pili anamlaumu cousin wake,sasa alitakacousin wake afanyeje zaidi za kumkabidhisha kwa mweshimiwa?
4)kwanza from the beggining amesema sugu alisema anataka kum.......,na Kweli akafanya hivyo,sasa anachokuja kutusimulia tufanyeje ikiwa ni umalaya wake ulimpeleka na tamaa zake!!!

Inaonekana katumwa na story yake katunga kumfedhehesha sugu,na kama ni ya kweli yeye ndo alijirahisisha kama fungu la bamia gengeni.
 
Sehemu ya 7

Nikapata mawazo kuhusu ukimwi... Nikawa najiuliza peke yangu hivi huyu mtu yuko salama kweli ? Na Kama yuko salama kwa nini amejitolea ameniamije? Wkt najiuliza hayo maswali na yeye Akaniuliza na UKIMWI je? Hapo nilikua na mawazo na sikupenda namna alivyo niuliza Lkn nakamjibu kijasiri tu !
Ukimwi sina! Akanyamaza
Nikawaza tena kwani kanionaje au yeye ndio anao ameniuliza kwa kupotezea yeye bila kujua najiuliza nn kichwani kwangu! Na hapo hapo yeye ndio kasababisha! Kusema kweli kiasi nilijuta sana Lkn kitu kilisha tokea nikaondoka kwa unyonge pia nikawa na mawazo maana nilikua nimechubuka na yule kijana huku dar aliniambia anaumwa basi ikiwa sio siku nzuri Lkn kitu ambacho kidogo kilinipa nguvu kwamba nilikua mkweli kwa huyu Kama akijisikia anaumwa ajue kwamba ni mm.... Sasa kwa kawaida huu ugonjwa ukimpata mwanaume anaumwa siku hiyo hiyo kwa hiyo nikawa naskilizia kitakacho tokea .. Nikaondoka nikarudi kwa dada yangu ndio nilipo kuwa nimefikia nikawa naongea na cousin wangu nikamwambia ilivyo kuwa akaniambia samahani na akaniambia hakua ana jua kiasi gani nilikua nimelewa otherwise asinge niacha.. Basi ikaishia hapo maisha mengine ya kaendelea nikawa nafanya yalio nipeleka Dodoma Lkn nikawa kuna time najisikia tu natamani kumuona basi na yeye pia tukawa tunaendela kuwasiliana kabla ya kurudi dar aliniuliza Kama Niko kwenye mahusiano ! Nikajieleza mm ni mchumba wa mtu Lkn mchumba wangu ni Mzungu yuko German Pia Akaniuliza kuhusu Jimmy nikamwambia ni kijana tu huw tunakutana tuna have fun! Basi hivyo
Nikamuuliza na wewe akasema yeye yuko single Hana mwanamke Nikamuuliza kwa nn?
Akasema kutoka na life style yake amejikuta Hana tu mke ,mwanamke wala mtoto.. Sasa hapo kwenye mtoto ndio story ilipo anza kwa sababu sisi wote tulikua tunataka sana mtoto yeye anataka na mm nataka kwa hiyo akili zetu zi kawa zinafanana..na huku kwenye mahusiano yangu na Mzungu tulikua tu natafuta mtoto muda tu hatupati sasa sielewi kwa nilikua sipati mimba! Kwa hiyo mawazo yake ya kawa yana cross kwenye akili yangu! Nikarudi dar nikawa naendelea na maisha yangu mm na yeye tukawa tumeachania hapo mpaka naondoka dom nilikua sijui kama tunaona tena au hatutaonana tena...ITAENDELEA
 
Mhh!! Huyu dada anajichanganya kweli kwenye maelezo yake,haya muvi iendelee....
 
Tupo pamojA Rich Pol. Nipe mda, espd 8 unaichapa saa ngapi?
 
Unamkumbuka rais wa bank ya dunia alijihuzuru kwa kashfa ya kudate na Secretary wake? Unaikumbuka kashfa ya Bill Clinton?

afu kuna yule mgombea wa USA alikuwa ashindane na BO lkn aliishia njiani na hoja iliomchafua ni kwamba alitelekeza Mke wake kwa sababu ya kimada
 
Back
Top Bottom