Love story (True story)

Love story (True story)

kweli mpaka sasa sijapata lengo lake huyu faidha ni nn,,is it umaarufu,kumchafua sugu au ni nini,,hii story itamaffect MTT wao badae,,,in short anakosea Sana',,,mheshimiwa acmjibu chochote huyu limbukeni,,
 
Dada katumwaa!!!story yake yenyewe ina utata!

Amesema aliambukizwa gono na jimmy,then wakatibiwa,then akaenda nje kwa huyo mzungu,then aliporudi akakutana na sugu ndo akamwambukiza?sasa VP kuhusu huyo mzungu huko nje ye hakuambukizwa ila hilo gono lilikuwa likimsubiri sugu tuu!!

Kiufupi dada ni muongo,hata kama ndo bangi watu wangapi wanavuta tena na heshima zao?halafu kama ndo aliziimba kama wanavyosema wengine kumbuka enzi hizo hakuwa mbunge alikuwa msanii kama wasanii wengine akina TEMBA,CHIDY,CHEGE,TWENTY PERCENT,NATURE,AFANDE SELE NK. Hivyo hatuwezi kutumia mambo yake ya ujana kumuhukumu.

Huyu faiza hamnazo yawezekana ndio SBB mheshimiwa alimuacha mana hajitambui na kuzaa nae sio kesi kwani mimba si inaingia kwa dakika tu!!
 
Nilikuwa kigamboni foleni ktk phanton ni sheeeedaa!
 
Sehemu ya 10

Nikaondoka nikiwa na uchungu+aibu msichana mzuri Kama mm mwenye akili kweli nimepata GONO ? 😭😭😪 nililia sana sana.. Na kitu kilicho kua kina nipa majonzi ni ugonjwa tena wa GONO dah! Aibu kubwa sana special kwa umri wangu 😥😰😪😢😓 kwa kweli ilikua aibu kubwa nika jiuliza yaani naachwa kwa ajili ya GONO ?! Du yaani lililikua likiniijia neno GONO ! Machozi yananitoka ya uchungu na aibu! Yaani ilikua ni fedhea! Nikaamua kuondoka kurudi nyumbani.. Njiani nikampigia Jim kwa hasira sana nikamwambia umeniambikiza tena! Jim akabisha ikabidi nimwambie kwamba na mm nimemuambikiza mtu na lzm kitakua lime toka kwako kwa sababu mara ya kwanza tumejitibu sasa hii ni mara ya pili na mm sija toka na yoyote zaidi ya kwako mpaka nikatoka na huyu kwa hiyo kwa namna yoyote wewe ndio umenipa maana ulipo niambia unaumwa na nilipo toka na huyu hakuumwa Lkn bado nilijitibu na wewe kwa sababu tuko pamoja lkn sasa ndio nimepata hakika kuwa ni wewe ndio ulio nipa! Jim nae alijikaza tu kujisemesha Lkn mwisho wa siku ukweli ni kwamba ugonjwa ulitoka kwake! Basi nikamwambia kwa aibu niliopata nikachanganya na matatizo mengine nikapata jibu huyu Jim na mm basi tuachane kwa sababu kwanza alikua mmbishi kuvaa CONDOOM sana sana kuna wkt alikua ana anavya ktk ya kitendo na sex ilikua so good ilikua sio rahisi kukwepa japo nilikua najikaza saa nyingine Lkn mwisho nikaona sex sio kila kitu ktk maisha yangu naweza nikajikataza na maisha yanaendelea .. Kiukweli toka niachane nae mpaka leo bado sijapata kijana anae jua Kama yeye wkt mwingine natamani special nao Niko single Lkn nikifikiria tu magonjwa na nini basi najikataza!!! Sasa nilipo fika home nikalia sana kwa uchungu mno nikamhadisia Farida akaniambia aibu kubwa ! Basi akisema hivyo dah 😭😭😭😪😥😰😢😓 namwambia mbaya zaidi unakua na histori kwamba uliachwaga kwa ajili ya GONO 😭😭😭😭 mungu wangu naikumbuka ile siku Kama leo yaani nililia kwa uchungu mno ! Hlf sikua tayari kuachana nae nilikua nikiwa nae na enjoy sana sasa ndio naanza kupata raha ndio nimepata Janga dah😭😭 ilikua siku mbaya sana yaani dah! Basi wkt nimekaa na nguo zile zile nawaza huku nalia Mara nikaona simu inaitwa jina Joseph 😳😳 nikashtuka .. ITAENDELEA
 
Ehe!! Joseph akapiga simu… kuangalia vizuri nikakuta ni Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu au Mr II au II Proud…
Nikapokea simu yake na kuanza kuongea
………
ITAENDELEA.
 
Wanawake hebu fanyeni jitihada za kumpima akili huyu kiumbe mwenzenu, anajidharirisha safari yenu ya kutaka haki sawa, heshima katika jamii ni ngumu mno mnakatishana tamaa wenyewe kwa wenyewe huyu ni zaid ya kupiga picha za utupu
 
Wanawake hebu fanyeni jitihada za kumpima akili huyu kiumbe mwenzenu, anajidharirisha safari yenu ya kutaka haki sawa, heshima katika jamii ni ngumu mno mnakatishana tamaa wenyewe kwa wenyewe huyu ni zaid ya kupiga picha za utupu

Mkuu kwa mimi bora nibaki single forever kulikuwa kuwa na mwanamke mwenye akili kama hizi.









-
 
Mkuu kwa mimi bora nibaki single forever kulikuwa kuwa na mwanamke mwenye akili kama hizi.









-
Huyu si mwanamke ni kioja, wanawake wanastaha hata kama anawanaume kumi huwei kujua na wala hawajitangazi kama huyu hafai kwa matumizi ya wanaume hata kuwa mchepuko hana sifa
 
Huyu si mwanamke ni kioja, wanawake wanastaha hata kama anawanaume kumi huwei kujua na wala hawajitangazi kama huyu hafai kwa matumizi ya wanaume hata kuwa mchepuko hana sifa

Huyo ni malaya tu.Mwanamke ana mdomo mchafu kama choo cha stend.Hawa ndio wale wa uswahili matusi kwao ujiko.Na wengi wao hawajafunzwa na mama zao.Mie nikishaona mwanamke mwenye mdomo mchafu kama huyu dada nawaoneaga huruma tu maana hawakufunzwa toka utotoni kwa hiyo tumsamehe bure wahenga wanasema samaki mkunje angali mbichi huyo kaishakomaa na tabia ya mtu ni kama ngozi
 
Back
Top Bottom