Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,877
- 5,694
- Thread starter
- #281
Shemeji miss neddy na Khantwe karibuni
Last edited by a moderator:
Anhaa ulitaka akutekenye kidogo yakheee aisee!
Mhhhhh???mbona sikumbuki jamani???
AiseeeHahahaha umeona eeeh!Angefanya hivyo lazima ningeamka
usingizi mama...usingizi!!!
hata hivyo hakuna ulichokosa sana maana naona bundle imekata tena...
Naomba uusome ushauri wa daudi1.Kuanzia kesho nataka niwe naamshwa kihivyo.....lol
Naomba uusome ushauri wa daudi1.Kuanzia kesho nataka niwe naamshwa kihivyo.....lol
Natamani hata ulale sasa nikuamshe kihivyo...
Zoezi lianze kesho......lol
Mzima my wii???Umeamka salama??
Niko poa wii nipo tu nashangaashangaa
Acha kushangaa njoo home ule pilau la kisukuma lipo mezani tayari.....
Hahahahaa uwiii...hata ninyi mnalijua pilau???? Bas pilau si mali tena
Honey Faith ndia nzuri tu ikiwa na upendo ndani lakini ikiwa na mgogolo ni sheeeda!!! Cc MSALANI