Hongera kwa ujasiri wengine wanaugulia kimoyo moyo, matokeo yake wakiona mwingine kachukua wanaanza kulia na kuanza mbinu za kuvunja uhusiano wa mwanamke mwenzake.Nilimtongoza, akakubali hajajuta kunikubalia penzi lake!
Hii ni kweli kwani sio vicheche wote wanapenda wanayoyafanya. Wakipata wanatulia.Wangu alikua anajiuza mi nikawa mteja wake niliemvutia kuliko wote kwa sasa ni wife mtulivu sana na kanizalia watoto wawili
@liverpoolfc upo!Kha ha ha ha ha ha haaaaaaaa!
Nilikushangaa nilipokuona jukwaani letu!
Mwanasayansi wetu!
nilimtongoza...nikammega ....
Ngoja nifikiri, kwani ni zaidi ya story
yapata miaka kumi na tatu iliyopita nikiwa mpelelezi katika jeshi letu linalohusiaka na masualay usalama wa raia alitokea mdada mmoja ambaye alikuja kuanza kazi (first appointment) na wenzake toka chuo cha mafunzo ya usalama wa raia kule moshi. sIKUJUA SABABU HASA ila kiukweli nilivutiwa naye sana na mara nyingi nilikuwa nikimfikiria sana. Kuna wakati wakati ule wao wakijipanga kwa ajiliya morning parade basi miye nilikuwa nikichungulia dirishani lakini akili na fikra zangu zote zilikuwa kwake. iKATOKEA SIKU MOJA TUKAWA TWACHEZA NAO KARATA katika Bwalo ambao ndo nilikuwa naishi. Wakati tukicheza karata nilikuwa nafikiria nitamuanzaje kwani kwa muda wa yapata miaka miwili nilikuwa sijaona ndani na kwa kuwa nilikwenda huko mafunzo mara tu baada ya kuhitimu mafunzo ya kidato cha sita. Na kwa kweli nilikuwa nikiwaogopa sana akina dada. Nilimuomba tupate wasaa wa kuongea wakati mwingine na akanikubalia. Toka siku nilipoongea naye sikuwa kuijutia nafsi yangu kwani hivi sasa tuna familia ya watoto wawili mkubwa darasa la nne na mdogo chekechea na maisha yanasonga mbele. I love her very much the same way I loved her before!!!!!
Kwa akina sisi tuliopitia kwingi kabla ya kutulia na mmoja tuweke stori ipi?
Nilishawaambiaga tena tulikaa sehemu moja uwanja wa taifa simba wakafunga goli dakika za mwisho basi katika kushangilia tukajikuta tumekumbatiana!
Hadi leo hatujutii maamuzi yetu!
.....nilikuwa ninamduu dada mtu....mdogo mtu akanipenda akamzidi kete dadake......kwa bahati mbaya tukapendana tukaingia kwenye wimbi zito la mahaba na mdogo mtu...KWELI MAPENZI MAGUMU, CHUMA LAINI......dada mtu akalalamika wee ,akamtishia mdogo wake wee,ikashindikana......sasa ndio nipo na mdogo mtu mwaka wa tano sasa.....hatujutii...sasa dada kawa rafiki amekubali yaishe!
Tulikutana njian
Wangu alikua anajiuza mi nikawa mteja wake niliemvutia kuliko wote kwa sasa ni wife mtulivu sana na kanizalia watoto wawili
wangu nilifungishwa ndoa ya mkeka baada ya mzee wake kuniona nimesimama naye chobingo namwaga mistar
yapata miaka kumi na tatu iliyopita nikiwa mpelelezi katika jeshi letu linalohusiaka na masualay usalama wa raia alitokea mdada mmoja ambaye alikuja kuanza kazi (first appointment) na wenzake toka chuo cha mafunzo ya usalama wa raia kule moshi. sIKUJUA SABABU HASA ila kiukweli nilivutiwa naye sana na mara nyingi nilikuwa nikimfikiria sana. Kuna wakati wakati ule wao wakijipanga kwa ajiliya morning parade basi miye nilikuwa nikichungulia dirishani lakini akili na fikra zangu zote zilikuwa kwake. iKATOKEA SIKU MOJA TUKAWA TWACHEZA NAO KARATA katika Bwalo ambao ndo nilikuwa naishi. Wakati tukicheza karata nilikuwa nafikiria nitamuanzaje kwani kwa muda wa yapata miaka miwili nilikuwa sijaona ndani na kwa kuwa nilikwenda huko mafunzo mara tu baada ya kuhitimu mafunzo ya kidato cha sita. Na kwa kweli nilikuwa nikiwaogopa sana akina dada. Nilimuomba tupate wasaa wa kuongea wakati mwingine na akanikubalia. Toka siku nilipoongea naye sikuwa kuijutia nafsi yangu kwani hivi sasa tuna familia ya watoto wawili mkubwa darasa la nne na mdogo chekechea na maisha yanasonga mbele. I love her very much the same way I loved her before!!!!!
Mi nilimpiga gwara wakati anatoka mashineni bila unga kumwagika, wakati bado anagarara chini kwa hamaki, nikamkamata kama jogoo anavyombana mtetee...binti akatulia tulii na akaniambia "kwa ni sambi sangu si ni sambi sako we fanya tu"...tokea siku hiyo akawa mchumba wangu, sasa hivi yupo hapo nje anapepeta mtama!