....love bite zinatokaje jamani?

....love bite zinatokaje jamani?

so simple, chukua steel wire, mix weka mchanga wa beachu na sabuni ya unga ya foma gold, na maji kiasi jisugue kifua chote, hakikisha kinageuka kuwa red na hizo love bites hutoziona kabisa.
 
Usiumize kichwa we nenda tu home bwana!!!

Unaeza kuta wife nyumbani nae ana lavu bite unajipa mawazo bure.....
 
Ukirudi nazo utamfundisha na mkeo ukisafiri awe anamtafuta wakutengeneza love bites,sa sijui ataishia hilo tu laa! Sikiliza kwa makini pia tangazo la tuko wangapi!
 
we kaka fabinyo umeanza lini tabia mbaya? haya njo nikusugue na mchanga zitatoka.
 
ha ha ha, chora tattoo babu, tena andika jina la nkeo,,,
 
ndio ukome siku nyingine usirudie..nenda kwa mganga wa kienyeji atazitoa
 
Jamani wengine ndio tunasikia.................................................
 
Sugua na barafu. Zitaishazote, love bite ni mvilio wa damu baada ya kunyonywa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom