asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
usirudi nyumbani mpaka ziishe
najua ni masahibu makubwa hayo tena kwa sisi wenye hizi rangi!
Lakini nachukia sana mwanamke anyefanya hivyo. Unajua anakuvizia mazee uko karibu kabisa na mshindo ndo anaanza kukutafuna tafuna (makusudi). huwezi sikia kabisa. Maliza mshindo wako uone kitu alichokufanya. Anafanya hivyo ili aharibu kwa wengine. Hajui kuwa anaharibu hadi home kwa wife. MAMBO YA KISHAMBA SANA LKN
ukifika home vua gizani afu umwambie mkeo akuwekee lobe bite.
Hatajua zipi zake na zipi si zake
duh,asante mdau
shukuru Mungu umeoa mkuria, ungeoa mchaga cha moto ungekiona.
dada zangu punguzeni manjonjo kunako 6*6 wengine tuna wake zetu mabondia, msituhatarishie maisha.
View attachment 75198 hivi ndivyo love bite inavyotokea.
mtu mwenyewe mweusi tiii kama nyago la mmakonde halafu unatuyeyusha una love bites...
Acha kashfa bro
Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
wapendwa,nlikuwa safari mkoa flani toka j3 iliyopita na j5 ilikuwa nilirudi home acity!huko nikakutana na moja ya 'project' zangu kali za zamani (wat hapened tuyaache),ila mpk leo jmosi nashindwa kurudi home,love bite zimenijaa kifua kizima na zinaonekana waziwazi kutokana na karangi kangu!nikirudi hivi msala,kesi itakuwa kubwa kwa mkurya wangu mama watoto!jamani nazitoaje ili kesho nirudi home?msaada pliz