....love bite zinatokaje jamani?

....love bite zinatokaje jamani?

ulikuwa unakenua miguu hukutushirikisha... saahizi ati naomba msaada tena kwenye jambo la kunitakia... mweh! Imekula kwako😡
 
wapendwa,nlikuwa safari mkoa flani toka j3 iliyopita na j5 ilikuwa nilirudi home acity!huko nikakutana na moja ya 'project' zangu kali za zamani (wat hapened tuyaache),ila mpk leo jmosi nashindwa kurudi home,love bite zimenijaa kifua kizima na zinaonekana waziwazi kutokana na karangi kangu!nikirudi hivi msala,kesi itakuwa kubwa kwa mkurya wangu mama watoto!jamani nazitoaje ili kesho nirudi home?msaada pliz

sijaona watu waliokupa ushauri murua wa kuachana na huo UZINZI wako,kumbuka wewe umeshaoa teyari huna sababu ya msingi ya kwa nini unamsaliti mkeo,achana na tamaa mbaya,kwasababu kwa karne hii kila mtu akikutana na project yake ya zamani halafu aseme wa kumbushie niambie ni nani atakae baki salama?vitu vingine sio vya kuendekeza kabisa,yangu ni hayo tu.
 
pole sana, Inaelekea ww sio mtaala wa mipango ya kando.

jifunze ujanja ujanja au uache kabisa, vinginevyo ndoa yako ipo hatarin

cheat responsibly
 
hahaha mtoto ana menoo??
ananjuA ATA kutoa luv bite mtoto mwa jamen:confused2:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom