....love bite zinatokaje jamani?

....love bite zinatokaje jamani?

Watu wanavyo-glorify cheating humu JF, inasikitisha mno
 
najua ni masahibu makubwa hayo tena kwa sisi wenye hizi rangi!
Lakini nachukia sana mwanamke anyefanya hivyo. Unajua anakuvizia mazee uko karibu kabisa na mshindo ndo anaanza kukutafuna tafuna (makusudi). huwezi sikia kabisa. Maliza mshindo wako uone kitu alichokufanya. Anafanya hivyo ili aharibu kwa wengine. Hajui kuwa anaharibu hadi home kwa wife. MAMBO YA KISHAMBA SANA LKN
ahaa penalty inapigwa kabla ya filimbi ewii , asa nae wakati unapiga mshindo naye nyege ndo zinatuliaga ndomana anakubite sasa haha natania
 
wapendwa,nlikuwa safari mkoa flani toka j3 iliyopita na j5 ilikuwa nilirudi home acity!huko nikakutana na moja ya 'project' zangu kali za zamani (wat hapened tuyaache),ila mpk leo jmosi nashindwa kurudi home,love bite zimenijaa kifua kizima na zinaonekana waziwazi kutokana na karangi kangu!nikirudi hivi msala,kesi itakuwa kubwa kwa mkurya wangu mama watoto!jamani nazitoaje ili kesho nirudi home?msaada pliz
paka colgate
 
wapendwa,nlikuwa safari mkoa flani toka j3 iliyopita na j5 ilikuwa nilirudi home acity!huko nikakutana na moja ya 'project' zangu kali za zamani (wat hapened tuyaache),ila mpk leo jmosi nashindwa kurudi home,love bite zimenijaa kifua kizima na zinaonekana waziwazi kutokana na karangi kangu!nikirudi hivi msala,kesi itakuwa kubwa kwa mkurya wangu mama watoto!jamani nazitoaje ili kesho nirudi home?msaada pliz

Niitie huyu aliyekutoa love bite nimpe zawadi yake! maana amefanya kazi nzuri. Hiyo ndiyo dawa ya wazinzi wanaotoka nje ya ndoa zao. Dawa ni kujimwagie ***** mwili mzima ujikuneeeeeeeeee ili utoke maalama yanayofanana na hizo lovebite.
 
Mambo ya kishamba tena, mbona unamcheat mkeo, kumcheat mkeo sio ushamba eee!
Ili kumukomesha angemuwekea na ya usoni kabisa, uzinzi muufanye halafu matokeo ya uzinzi iwe ushamba tena ebbo!!!

najua ni masahibu makubwa hayo tena kwa sisi wenye hizi rangi!
Lakini nachukia sana mwanamke anyefanya hivyo. Unajua anakuvizia mazee uko karibu kabisa na mshindo ndo anaanza kukutafuna tafuna (makusudi). huwezi sikia kabisa. Maliza mshindo wako uone kitu alichokufanya. Anafanya hivyo ili aharibu kwa wengine. Hajui kuwa anaharibu hadi home kwa wife. MAMBO YA KISHAMBA SANA LKN
 
najua ni masahibu makubwa hayo tena kwa sisi wenye hizi rangi!
Lakini nachukia sana mwanamke anyefanya hivyo. Unajua anakuvizia mazee uko karibu kabisa na mshindo ndo anaanza kukutafuna tafuna (makusudi). huwezi sikia kabisa. Maliza mshindo wako uone kitu alichokufanya. Anafanya hivyo ili aharibu kwa wengine. Hajui kuwa anaharibu hadi home kwa wife. MAMBO YA KISHAMBA SANA LKN
kwanini ulimgonga
 
wapendwa,nlikuwa safari mkoa flani toka j3 iliyopita na j5 ilikuwa nilirudi home acity!huko nikakutana na moja ya 'project' zangu kali za zamani (wat hapened tuyaache),ila mpk leo jmosi nashindwa kurudi home,love bite zimenijaa kifua kizima na zinaonekana waziwazi kutokana na karangi kangu!nikirudi hivi msala,kesi itakuwa kubwa kwa mkurya wangu mama watoto!jamani nazitoaje ili kesho nirudi home?msaada pliz

Sasa wangekugandisha uko ungekuwa unayaleta haya hapa? Bora ungegandia hukohuko! Karibu Sumbawanga..
 
najua ni masahibu makubwa hayo tena kwa sisi wenye hizi rangi!
Lakini nachukia sana mwanamke anyefanya hivyo. Unajua anakuvizia mazee uko karibu kabisa na mshindo ndo anaanza kukutafuna tafuna (makusudi). huwezi sikia kabisa. Maliza mshindo wako uone kitu alichokufanya. Anafanya hivyo ili aharibu kwa wengine. Hajui kuwa anaharibu hadi home kwa wife. MAMBO YA KISHAMBA SANA LKN

Mshamba/limbukeni ni wewe unakwenda kufanya mambo ya giza huku ukimwacha mkeo. Hivi nyie vizazi misotosheka mpaka lini???? Nenda hivyo hivyo atakufanya nini mkeo wakati wewe ndiyo kidume!
 
Niitie huyu aliyekutoa love bite nimpe zawadi yake! maana amefanya kazi nzuri. Hiyo ndiyo dawa ya wazinzi wanaotoka nje ya ndoa zao. Dawa ni kujimwagie ***** mwili mzima ujikuneeeeeeeeee ili utoke maalama yanayofanana na hizo lovebite.

i am sorr hapnes!
 
Love bite ni nini. Mtu anakuuma na meno hutoki damu, huumiii, inakuwaje. Tufahamishane jamani. I have never come across such a thing or heard of it

labda umejaaliwa sana rangi ya kiafrika,huwezi kujua anachokizungumzia.....
 
kaka bora urudi kwa mkurya Tweeter nimeona mdada anauliza same swali atakua mkeo ukichelewa utakuta na za kwake zimefutika! chezaa wanawake wewe!!!!!!!!!!!😛op2:
 
Pole mkuu, ushauri uliopata sio kwamba hao waliokupa wamependa ila wanataka ndoa yako idumu, kwa niaba yao naomba nikuambie usirudie tena na kuwa makini maana wengi wamekupa ushauri wamesahau kukuambia usirudie tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom