Ipo Hai Kilimanjaro mkuu.IPO wapi hio? Maana sio kila mtu anaijua
Ofisi zao zilipo unaweza kufika ukawapa taarifa au hawana huduma ya customer care?Ipo Hai Kilimanjaro mkuu.
Taarifa zimeshafika ofisini kwao siku nyingi chief! Tatizo ni utatuzi wa tatizo tajwa! Labda kupitia humu jamii forums ninaamini watakuwepo viongozi husika,kiwilaya,kimkoa au hata juu zaidi, wanaosoma ujumbe huu,tunaomba watusaidie kufuatilia pia mkuu.Ofisi zao zilipo unaweza kufika ukawapa taarifa au hawana huduma ya customer care?