Mtanzatozo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 972
- 1,163
mh!Tatizo la ninyi mnaojiita wasomi mnataka kila kitu kiende mtelemko. Uza hiyo simu unayotumia ku-like na ku-comment humu upate mtaji.
Kuhusu pa kukaa, vijijini kuna ukarimu wa hali juu Sana. Lkn atafutae huwa hana mwiko, hata shamba analala.