bora mim
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 563
- 756
Naweza kukusaidia?Mwalimu Mwankina unamfahamu?if yes bado yupo,,?samahani nimetoka nje ya mada
Mwankina aliyekuwa mkuu wa Itope Sec school kyela?
Naweza kukusaidia?Mwalimu Mwankina unamfahamu?if yes bado yupo,,?samahani nimetoka nje ya mada
Naweza kukusaidia?
Mwankina aliyekuwa mkuu wa Itope Sec school kyela?
Samahan kwa usumbufu.Sijajua...alikua mtaalam wa histry..amenifundishaga kidg kbla sijachepukia science..alikua ana kigugumiz hivi .!hakukaa sana pale shule. sikujua aljwnda wapi
Samahan kwa usumbufu.
Wew unazungumzia alikaa sana shule gan?
Thank youPole Mungu akujalie upate kampani ya maisha
Maumivu gani...jiamini tu haina shidaNaweza fika huko nikapata maumivu zaidi ya haya niliyonayo sasa hivi
Ndio nakuwaga hivyo ila ikifika mahali nimebanwa sana na hawa boy wetu wasivyopenda kuomba, siombiii na ndio napomkumbuka sasa ningekuwa kama wenzangu si ndio ningekuwa namdekea we acha tuu but one day yes.Pole aisee watu wanasemaga tu
Upweke unaua yani unaeza jihisi hupendw bt unatakiwa utafute rafk au uwe na mpnz maisha ya peke ako ni magumu hasa ukitoka kazini kwa ss tunaoish peke etu ni hatar unataman likizo isiishe
Bt penda kujichanganya na watu itakusaidia saana i dd that too at least usku napenda utulivu so mchana nakua na watu kabla cjaingia kwenye kiita changu kujfungia
SanteeHiyo hali inatesa pole.
Mamy umetoa pol kwa mtoa mada then ukajijibu mqwnyewThank you
Tunashukuru!Duuuh! Poleni.
Mbona mnasemaga wanawake ni wengi kwa nini usioe mkuu?
Ukirudi home unakuta yupo kukusubiri mnapiga story mnacheza mnataniana hapo vipi?
Ndio, ulininyima wanao Heaven Sent na Nalendwa. Ulitegemea nini?
Nawe mmoja wao?
Tatizo bado mtoto, wangekubemenda.Ndio, ulininyima wanao Heaven Sent na Nalendwa. Ulitegemea nini?
Mweeh!Tatizo bado mtoto, wangekubemenda.




Pesa siyo amani kwa kila kitu KakaKama una kazi naamini pesa si tatizo sana.
Unateswaje na upweke?
Una hela?Mweeh!
Ni wivu tu!
(In gwajima's voice)
![]()
Walikuambia wanataka hela?Una hela?