Loneliness

Loneliness

Asante sana kaka
Endapo unafikiria wewe peke yako ndo hupatwa na upweke hata usiwaze sana mkuu, sisi kama binadamu kuna wakati kila mmoja wetu hukumbwa na upweke katika maisha yetu , Muhimu fahamu njia sahihi na stahiki za kupambana na huo upweke wako inasaidia sanaa
 
Kuna nyakati na siku kama wiki hii huwa najisikia upweke kiasi kwamba naingiwa na roho yakujichukia na pia nakuwa mtu wa hasira sana.

licha yakuwa na elimu na kazi huwa mara nyingi huwa nakosa mtu wakuongea nae nikiwa home kiasi kwamba ikitokea hivyo hata kupika au kutazama TV nashindwa.

Isingekuwa kushika sana Dini na Mungu wangu ningejikuta nakunywa au kuzurula ili kupata kampany.

Loneliness knows my name.

Upweke unaathiri sana, Pia maumivi yake ni makubwa maana it's psychological torture.

Nakosa nguvu ya kuendelea.
Loneliness can lead to depress mzee makinika

Ni vizuri pia ujue sababu ya kua hvyo isijekua aloneness ndo inayokukumba na si loneliness kwa maana ya lonely ya miss kitu
 
Na msim umeisha tutachek hata ndondi kuliko kukaa ndani kama utumbo
Unafikiri watu kushinda Bar unacheki EPL,Laliga na UEFA hadi saa saba usiku kwamba tunapenda? kote ni kuitafuta furaha tu.....upweke huleta maradhi mengi
 
Karne hii unakuaje mpweke sema labda kihisia (mahusiano) ila kama kampani mbona vitu vingi mkuu.. Tena kazi unayo just unga ma bundle ya kutosha zama you tube cheki komedi za kina joti, Churchill show, bad boys, au tafuta video games pes 19 au fifa 19 hapo huwezi kua mpweke labda uwe umetupiwa jini domozege.
Hivi unajua kuna mda unaweza kukaa huko kote vikakuboa, yaani ukaona kama dunia haiendi.
 
Jikubali... Jiamini...

Jichanganye na jamii...

Tukuza unachokiamini.

Kidhi haja zako usiishi kwa kukariri....

Eg.

Unapenda saaana kumiliki gari, ila philosophy ya jamii iliyokuzunguka inasema kumiliki nyumba ni bora kuliko gari"

Unaachana na unachokipenda unanua nyumba ili kukidhi falsafa za mtaa...

Totally wrong na ipo day utacommit suicide au kuokota makopo.

Jitahidi saaana uende sambamba na matakwa ya moyo wako na sio matakwa yanayosababishwa na mazingira.

Hii ndio njia pekee ya kupata furaha ya moyo.
 
Yaani we acha, simu yake iliharibika jana akanipa leo nikamtengenezee sasa baada ya kuichukua kwa fundi nikasema ngija nichungulie whatsapp lahaulaaaa.... najutaaa
Mshamba sana huyo demu wako, si angepeleka mwenyewe kwa fundi? Anyway hayanihusu. Pole sana
 
Back
Top Bottom