oscar mwankina
Senior Member
- Feb 10, 2013
- 187
- 118
- Thread starter
- #121
Asante sana kaka
Endapo unafikiria wewe peke yako ndo hupatwa na upweke hata usiwaze sana mkuu, sisi kama binadamu kuna wakati kila mmoja wetu hukumbwa na upweke katika maisha yetu , Muhimu fahamu njia sahihi na stahiki za kupambana na huo upweke wako inasaidia sanaa
Yaani hujipi hata muda?