Loneliness

Loneliness

Asante sana kwa busara zako
M huwa nafrahi zaid nkiwa peke yangu, au nkiwa na mbebe wangu naona niko huru zaid... Nkichagiza na bundle la kutosha ata week naeza chili tu geto, na ndo maana napenda geto liwe zuri ili nisiboreke........,!

Japo sijawai kukosa company..

Sio mbaya kuwa alone, wala akuna atae kuuliza mkuu, kila mtu na maisha yake ila kama unaona ni shida kwako tafuta rafiki kwenye kijiwe cha biashara au duka kuabzia apo utapata marafiki wapya...... Au jishughulishe zaid kanisan utapata marafiki unaoshare nao vitu vingi zaid.
 
Kuna nyakati na siku kama wiki hii huwa najisikia upweke kiasi kwamba naingiwa na roho yakujichukia na pia nakuwa mtu wa hasira sana.

licha yakuwa na elimu na kazi huwa mara nyingi huwa nakosa mtu wakuongea nae nikiwa home kiasi kwamba ikitokea hivyo hata kupika au kutazama TV nashindwa.

Isingekuwa kushika sana Dini na Mungu wangu ningejikuta nakunywa au kuzurula ili kupata kampany.

Loneliness knows my name.

Upweke unaathiri sana, Pia maumivi yake ni makubwa maana it's psychological torture.

Nakosa nguvu ya kuendelea.

Mkuu stage uliofikia solution ni KUOA
 
Mbona mnasemaga wanawake ni wengi kwa nini usioe mkuu?

Ukirudi home unakuta yupo kukusubiri mnapiga story mnacheza mnataniana hapo vipi?
Af kuna mbulula anakuja na uzi na kusema watu tusioe. Shenzi kabisa, ukiwa na mke kama rafiki yako huwezi kujifeel upweke hata siku moja. Do all the crazy stuffs together
 
Punyeto sio nzuri kiafya acha Mara moja
Kuna nyakati na siku kama wiki hii huwa najisikia upweke kiasi kwamba naingiwa na roho yakujichukia na pia nakuwa mtu wa hasira sana.

licha yakuwa na elimu na kazi huwa mara nyingi huwa nakosa mtu wakuongea nae nikiwa home kiasi kwamba ikitokea hivyo hata kupika au kutazama TV nashindwa.

Isingekuwa kushika sana Dini na Mungu wangu ningejikuta nakunywa au kuzurula ili kupata kampany.

Loneliness knows my name.

Upweke unaathiri sana, Pia maumivi yake ni makubwa maana it's psychological torture.

Nakosa nguvu ya kuendelea.
 
Kuna nyakati na siku kama wiki hii huwa najisikia upweke kiasi kwamba naingiwa na roho yakujichukia na pia nakuwa mtu wa hasira sana.

licha yakuwa na elimu na kazi huwa mara nyingi huwa nakosa mtu wakuongea nae nikiwa home kiasi kwamba ikitokea hivyo hata kupika au kutazama TV nashindwa.

Isingekuwa kushika sana Dini na Mungu wangu ningejikuta nakunywa au kuzurula ili kupata kampany.

Loneliness knows my name.

Upweke unaathiri sana, Pia maumivi yake ni makubwa maana it's psychological torture.

Nakosa nguvu ya kuendelea.
Kama una kazi naamini pesa si tatizo sana.

Unateswaje na upweke?
 
Back
Top Bottom