Loneliness

Loneliness

Nadhani ni suala la kupata watu wa kariba yetu,ambao tunaweza ku-share nao masuala yetu mbalimbali,si lazima awe mpenzi,inaweza kuwa rafiki (ke/me) wa rika moja,au rika tofauti na hapo ndio pana ugumu.Lakini kwa kuwa wawazi kama hivi naamini tunaweza kuwapata.Hongera na pole.
 
M huwa nafrahi zaid nkiwa peke yangu, au nkiwa na mbebe wangu naona niko huru zaid... Nkichagiza na bundle la kutosha ata week naeza chili tu geto, na ndo maana napenda geto liwe zuri ili nisiboreke........,!

Japo sijawai kukosa company..

Sio mbaya kuwa alone, wala akuna atae kuuliza mkuu, kila mtu na maisha yake ila kama unaona ni shida kwako tafuta rafiki kwenye kijiwe cha biashara au duka kuabzia apo utapata marafiki wapya...... Au jishughulishe zaid kanisan utapata marafiki unaoshare nao vitu vingi zaid.
Kwa hiyo umashauri wakati mwenzake anafanya kazi kwenye kijiwe chake yeye aende akae tu?
 
Kwa hiyo umashauri wakati mwenzake anafanya kazi kwenye kijiwe chake yeye aende akae tu?
Ni yeye mwenyewe anavyoona kulingana na muda wake....

Ukishakua mtu mzima akuna mtu anaekusukuma wala kukutuma ila majukumu, ndoto na malengo yanakuautomize.....!

Mihimu ni ratiba tu. Kuweka muda wa kurelax na kujichanganya na wadau si mbaya!
 
Back
Top Bottom