Loneliness

Loneliness

Endapo unafikiria wewe peke yako ndo hupatwa na upweke hata usiwaze sana mkuu, sisi kama binadamu kuna wakati kila mmoja wetu hukumbwa na upweke katika maisha yetu , Muhimu fahamu njia sahihi na stahiki za kupambana na huo upweke wako inasaidia sanaa
 

Attachments

Kuna nyakati na siku kama wiki hii huwa najisikia upweke kiasi kwamba naingiwa na roho yakujichukia na pia nakuwa mtu wa hasira sana.

licha yakuwa na elimu na kazi huwa mara nyingi huwa nakosa mtu wakuongea nae nikiwa home kiasi kwamba ikitokea hivyo hata kupika au kutazama TV nashindwa.

Isingekuwa kushika sana Dini na Mungu wangu ningejikuta nakunywa au kuzurula ili kupata kampany.

Loneliness knows my name.

Upweke unaathiri sana, Pia maumivi yake ni makubwa maana it's psychological torture.

Nakosa nguvu ya kuendelea.
Unafikiri watu kushinda Bar unacheki EPL,Laliga na UEFA hadi saa saba usiku kwamba tunapenda? kote ni kuitafuta furaha tu.....upweke huleta maradhi mengi
 
Back
Top Bottom