London Evening Standard

London Evening Standard

Nina gazeti la jana la London Evening Standard.Ni gazeti linalotolewa free kwenye station zote za reli.Linasomwa na watu 1.69 million jijini London.
Page ya kwanza iliochukua uzito inasoma hivi:

CHARITY GIRLS IN ACID HORROR halafu kuna picha 2 za hawa teenage girls,Kirstie Trup & Katie Gee.

Hii feature article inaendelea hadi page 5 kuna picha zao tena ,kwa ufupi inaelezea walikuwa Zanzibar kuvolunteer kwenye art charity .Katie anatarajiwa kujiunga na Nottingham University kusoma sociology next month na mwingine Bristol Uni kusoma History.

Page 5 also kuna sub-heading "Island paradise with a dark underbelly"
Inaelezea uzuri wa Zanzibar,hata developers kujaribu kuiturn into another Seychelles.Lakini sio hivyo tena ,inasimulia
allegations za uchakachuazi wa matokeo ya uchaguzi na CUF kutaka uhuru toka Tanzania.
Inazungumzia the rise of Islamic Party Uamsho(The Awakening).Pamoja na boom ya utalii,bado kuna matatizo ya ajira,a heroin epidemic na umaskini.


Hii ni PR mbaya sana .Ziara za Obama,Bush,Clinton au Shinawatra nchini haziwezi kupewa heading kama hii.


hao ni warabu wa pemba yakhe, wanajuana kwa vilemba ati!
 
Dkt Shein afanye maamuzi mazito kama alivofanya Jk. Timua wahamiaji "haramu" wote. Watanganyika must go.

watanganyika must WHAT ??? Mkuu tema mate chini . Japo mimi sitaenda huko , lakini kuwatimua watanganyika wenzangu wanaofanya shughuli zao si sawa .
 
Nchi ya Tindikali,unga,ufisadi.ung'oaji watu meno na kucha,mauaji,wizi wa mali ya umma,kuua tembo,udini nk


Waulizwe hao WAISLAMU wa Zanzibar hao watoto wenye miaka 18 wamewakosea nini hadi kuwapa adhabu isiyowafaa kiasi hicho?

Walikuwa kwenye Mfungo wa Ramadhani,ndiyo mawaidha yaliyokuwa yakitolewa hayo kuwafanyizia watu wasio na kosa lolote bila sababu za msingi?


TUNAOMBA MAJIBU TOKA ZANZIBAR

Una ushahidi?
 
Zanzibar ni nchi ya mambo yake, yanayotokea huko hayatuhusu.
Usijivue akili ndugu wewe ni mmojawapo mnaomuunga mkono Nape juu ya Serikali mbili na lengo ni kuogopa kuvunjika kwa muungano, leo hii unakuja na maneno ya kijinga, Tukio la Zanzibar ni muendelezo wa matukio yanayotokea nchi nzima tumeshuhudia Arusha Mashehk 2 wakimwagiwa Tindikali, Milipuko ya mabomu tena mengine kwenye mikono ya Polisi wakisema ni bahati mbaya.
 
watanganyika must WHAT ??? Mkuu tema mate chini . Japo mimi sitaenda huko , lakini kuwatimua watanganyika wenzangu wanaofanya shughuli zao si sawa .

Of course si sawa hata kidogo. Ndio maana hii timua ya wa Rwanda inasikitisha.
 
BBC nao wameonesha tukio hili. Hii ni ishara mbaya kwa Tanzania kuwa ktk vyombo vikubwa vya habari vya kimataifa kwa tukio la kinyama kama hili na mengine kama ya mauaji ya Mwangosi, kutekwa na kuteswa kwa Dr. Ulimboka na Kibanda. Kwa wenzetu matukio kama haya wapo makini sana kuyafuatilia na hawakawii kutoa tahadhari kwa raia wao kutotembelea maeneo amabayo yana matukio ya hatari kama haya.
 
Nina gazeti la jana la London Evening Standard.Ni gazeti linalotolewa free kwenye station zote za reli.Linasomwa na watu 1.69 million jijini London.
Page ya kwanza iliochukua uzito inasoma hivi:

CHARITY GIRLS IN ACID HORROR halafu kuna picha 2 za hawa teenage girls,Kirstie Trup & Katie Gee.

Hii feature article inaendelea hadi page 5 kuna picha zao tena ,kwa ufupi inaelezea walikuwa Zanzibar kuvolunteer kwenye art charity .Katie anatarajiwa kujiunga na Nottingham University kusoma sociology next month na mwingine Bristol Uni kusoma History.

Page 5 also kuna sub-heading "Island paradise with a dark underbelly"
Inaelezea uzuri wa Zanzibar,hata developers kujaribu kuiturn into another Seychelles.Lakini sio hivyo tena ,inasimulia
allegations za uchakachuazi wa matokeo ya uchaguzi na CUF kutaka uhuru toka Tanzania.
Inazungumzia the rise of Islamic Party Uamsho(The Awakening).Pamoja na boom ya utalii,bado kuna matatizo ya ajira,a heroin epidemic na umaskini.


Hii ni PR mbaya sana .Ziara za Obama,Bush,Clinton au Shinawatra nchini haziwezi kupewa heading kama hii.
sasa hili bomu la ajira tutalitatua vipi baada ya Muungano na watu wene 2m
 
Afande Pasua na umahili wake wote wa kutesa watu bado hajafanikiwa kumjua mmwaga tindikali hata mmoja. Na mbaya zaidi polisi wanafanya haya mambo ya tindikali ni ya kisiasa na kushugulika na wanasiasa huku wamwaga tindikali wenyewe wakiachwa wanadunda tu mitaani na kuzidi kudhulu. Laana ya kuichagua CCM inatuumbua kimataifa.
 
Mi naona Habari ya tindikali imefunika kimataifa kuliko hata moto wa airport kenya. Sasa international media imepata mlango wa kuingilia Tz. Tunahitaji kujisafisha. Tabia ya kusubiri watu wasahau imesha expire
 
mimi nashindwa kuelewa mpaka nini kitokee ndo viongozi wetu wajue tumefika pabaya viongozi wawajibishane.. ikiwemo kujihudhuru.
 
Nchi ya Tindikali,unga,ufisadi.ung'oaji watu meno na kucha,mauaji,wizi wa mali ya umma,kuua tembo,udini nk


Waulizwe hao WAISLAMU wa Zanzibar hao watoto wenye miaka 18 wamewakosea nini hadi kuwapa adhabu isiyowafaa kiasi hicho?

Walikuwa kwenye Mfungo wa Ramadhani,ndiyo mawaidha yaliyokuwa yakitolewa hayo kuwafanyizia watu wasio na kosa lolote bila sababu za msingi?


TUNAOMBA MAJIBU TOKA ZANZIBAR

Mkuu hiyo ni impact ya Sheikh Ponda na wenzake. Inafika mahali mtu unajiuliza hivi hawa watu wanaamin Mungu wa namna gani?
 
Nilikwenda Zanzibar mwakajuzi, nilitembelea mji mkongwe na beach zote, na pia kuzungumza na baadhi ya wakazi wa Zanzibar. Kwa ujumla Zanzibar kuna umaskini uliokithiri lakini usiochukiwa na wakazi wake. Pato kubwa ni utalii ambao wanaupiga vita. Zanzibar ina watu wengi wanafiki, wanaojifanya wanafuata sana dini na kuwa tayari kuwadhuru wengine kwa kisingizio cha dini lakini ukifika Zanzibar, kama unataka madawa ya kulevya utapata, ukitaka Malaya utawapata, n.k. Nilikuwa na Mzanzibari aliyekuwa akinitembeza, na alisema kuwa hiyo ndiyo kazi pekee aifanyayo. Nilipomaliza ziara yangu aliniambia kuwa malipo aliyokuwa anataka nimlipe ni madogo kutokana na ukweli kuwa kazi yake ilikuwa ni rahisi maana sikumwomba anitafutie madawa ya kulevya au wanawake. Alieleza kuwa baadhi ya wazungu huwaomba wawatafutie, naye kwaajili ya kuwaridhisha wateja wake hulazimika kuwatafutia. Alieleza kuwa wanawake hupatikana ila ni lazima iwe kwa kificho sana. Maana yake ni nini? Tafsiri ni kuwa Wazanzibari wanajifanya watakatifu mbele ya watu wengine lakini ndani yao kuna uovu wa kila namna.
haha kwikwi,utamkomoa nani sasa na hicho kiapo chako.
zanzibar ni njema na atakaye na aje_kar
 
hivi mzungu hata akitembea bila pichu utamtamani kweli?ngozi zao hazina hata mvuto ingekuwa mbantu afunge sebene alafu avae trouser au hiyo mini hapo saumu lazima itenguke.....

ziko kama kitimoto.......
 
Leo alfajiri kuna afande kahojiwa kwa njia ya simu na SKY News kutoka Zanzibar, anasema hawa watoto ilikuwa bahati mbaya tu hiyo tindikali alikusudiwa mtu mwingine ila uwepo wao kwenye eneo la tukio ndiyo ikawarukia. Kwa kizungu " wrong place at wrong time". Hivyo ndivyo huyo afande alivyojitetea ila kuna mtaalam wa mambo kama haya alikuwepo pale studio akawa anasisitiza kuwa still Zanzibar si salama kwa wageni. Kataja mambo kibao crimes, ferries overloaded and unseaworthy, fatal road accidents, piracy, political instability na kama mnavyojua bila kusahau Terrorism. Jamaa alikuwa anapaka mbaya tu ambacho si kizuri kwa taifa kwa ujumla.

Na wizara yao ya mambo ya nje "Foreign and Commonwealth Office" wameishu warning statement to British nationals visting Tanzania.
 
Currently ALL Governments in the world share a 'common problem' i hope you all know what i am talking about.May God help us wapenda amani
 
Bila shaka Sheikh Ponda anafurahia matunda ya kazi yake!!!
 
Nilikwenda Zanzibar mwakajuzi, nilitembelea mji mkongwe na beach zote, na pia kuzungumza na baadhi ya wakazi wa Zanzibar. Kwa ujumla Zanzibar kuna umaskini uliokithiri lakini usiochukiwa na wakazi wake. Pato kubwa ni utalii ambao wanaupiga vita. Zanzibar ina watu wengi wanafiki, wanaojifanya wanafuata sana dini na kuwa tayari kuwadhuru wengine kwa kisingizio cha dini lakini ukifika Zanzibar, kama unataka madawa ya kulevya utapata, ukitaka Malaya utawapata, n.k. Nilikuwa na Mzanzibari aliyekuwa akinitembeza, na alisema kuwa hiyo ndiyo kazi pekee aifanyayo. Nilipomaliza ziara yangu aliniambia kuwa malipo aliyokuwa anataka nimlipe ni madogo kutokana na ukweli kuwa kazi yake ilikuwa ni rahisi maana sikumwomba anitafutie madawa ya kulevya au wanawake. Alieleza kuwa baadhi ya wazungu huwaomba wawatafutie, naye kwaajili ya kuwaridhisha wateja wake hulazimika kuwatafutia. Alieleza kuwa wanawake hupatikana ila ni lazima iwe kwa kificho sana. Maana yake ni nini? Tafsiri ni kuwa Wazanzibari wanajifanya watakatifu mbele ya watu wengine lakini ndani yao kuna uovu wa kila namna.
Mkuu, sidhani kama utalii unapigwa vita zenj
Zenj bila utalii ni sawa na Saudi Arabia bila wese
 
Inabidi tuwe tunakwenda mbali kidogo juzi tu Airport Kenya imeungua chanzo hakijulikani .....Wazungu/dollar imeondoka Kenya,Jana Zanzibar tindikali Wazungu/dollar itakosekana isijeikawa business espionage
 
BBC wanasema serikali ya Zanzibar imetangaza offer ya Us$6170 kwa atae toa taarifa ya kufanikisha kukamatwa kwa watuhumiwa
 
Back
Top Bottom