Zanzibar ni nchi ya mambo yake, yanayotokea huko hayatuhusu.
It is true,mpaka tuwe na serikali independent ya Tanganyika,tuwaachie wao na mambo yao ya ki mashariki ya kati
kwann unauthumu uislam ndo umehusika? subirini wafanye uchunguzi kwanza, mbona arusha mlisema ni waislam alafu mtuhumiwa anajina la kikristoNchi ya Tindikali,unga,ufisadi.ung'oaji watu meno na kucha,mauaji,wizi wa mali ya umma,kuua tembo,udini nk
Waulizwe hao WAISLAMU wa Zanzibar hao watoto wenye miaka 18 wamewakosea nini hadi kuwapa adhabu isiyowafaa kiasi hicho?
Walikuwa kwenye Mfungo wa Ramadhani,ndiyo mawaidha yaliyokuwa yakitolewa hayo kuwafanyizia watu wasio na kosa lolote bila sababu za msingi?
TUNAOMBA MAJIBU TOKA ZANZIBAR
Naapa rasmi hapa jf leo , sitoenda tena Zanzibar katika kipindi hiki kifupi nilichobakiwa nacho hapa duniani , afadhali Hata KABUL .
hili la watoto wa london litatupeleka pabaya!muingereza kwa kukuza maneno hajambo!