Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,769
- 10,649
my goodness! yani sasa umefikia kiwango cha kusema Yesu alifanya makosa? Tafadhali sana...kubali kuwa huelewi hii ishu. Hapa utaishia kukufuru bure! Sema tu mimi sio mjuzi, na haya ni mawazo yangu. Kwisha. Usijaribu kabisa kueleza vitu usivyojua. Utakosa uzima wa milele bure. Kama huamini Loliondo na unaona kuna vitu basic kwenye biblia vimevunjwa...sawa weka wazi. lakini kama unaanza kwa kuweka story nusu nusu za biblia, utaishia kukufuru kabisa.
Yesu alijua toka mwanzo kuwa atamfufua Lazaro. Huu ulikuwa ni mmoja wa miujiza yake mikubwa. Na 'kuchelewa' kwake (siku tatu) kulikuwa ni njia ya kutimiza huo muujiza.
But my point remains, kuwa watu wanaweza kufa wakiwa wanasubiri msaada Mungu. Huwezi sema kuwa kufa ukiwa njiani ina maana kuwa Mungu hayupo involved. It may suggest that but its not a strong suggestion. Wewe fanya sala muombe Mungu akufunulie ukweli juu ya hii ishu.
Yesu alitenda miujiza mbalimbali kuhihirisha Yeye ni Mungu. Aliacha mambo yatokee ili apate utukufu. Hata tukio la Lazaro kufa liliwaliza wengine Yeye akasema amelala tu, amini, atafufuka. Hivyo kufa kwa Lazaro haikuwa kwa bahati mbaya bali ni kusudi baba atukuzwe katika Mwana. Hata yule kiwete ambaye, Yesu walimuuliza, kazaliwa vile kwa dhambi za wazazi wake? Yesu aliwajibu kuwa, kazaliwa vile ili mapenzi ya Mungu yatimizwe. Hivyo si sahihi sana kuifananisha miujiza ya Yesu na hii ya sasa kwani sisi tumesha mjua Mungu tayari.