Loliondo pananuka mauti

alikufa akisubiri au hakufa akisubiri? wewe umesema kuwa watu wanakufa wakisubiri tiba ya babu. Kana kwamba sehemu nyingine hawafi wakisubiri tiba. Babu yeye kapewa idara tofauti ya kuangalia. anyway...it seems u wont understand!
Nawewe unajiendea tu lakini unaonekana tu usivyoweza kugundua vitu! Hahahaaaa sasa unafikiri wewe kwanini Yesu alienda kumponya tena? Hii ni wazi kwamba Yesu aliona kuwa kuchelewa kwake ndiko kulikosababisha kifo cha Lazaro ndio maana aliumia akatoa na machozi kwani aliona kweli kuchelewa kwake kumesababisha hayo! Sasa akaona afute makosa kwa kumponya na ikawa hivyo! Sasa waliochelewa kupata dawa Loliondo wakafa wameponywa au wamezikwa?? Angalia impact baada ya tukio ndio ujaji!
 
sasa unadhani kwa nn wanawatorosha wagonjwa wao? wana imani.hata yule mgonjwa aliepelekwa kwa yesu wakampitisha darini ili amponye ni kwa sababu ya imani yao.Utawahukumu kwa Imani yao? labda ulaumu serikali kwa kuruhusu magari mengi na watu wengi kwa wakati mmoja bila kuzingatia miundo mbinu na uwezo wa babu kuhudumia.Hao marehemu hata kama wasingekunywa dawa kwa babu wengekufa tu na kamwe babu hamwambii mtu aistumie ARV bali kawaambia wapime baada ya siku 7....Naona mada yako haina akili nadhani pia we ni mmoja wa wanaotegema mkate kwa kudanganya waumini kuwaponya ili mfaidi zaka na sadaka huku mkiwahadaa kwa maombi ya uwongo.

Wakati imani ya kweli kwaYesu inaponya, ile ya Samunge inaua! Au imani inaanza pale unapokunywa kikombe?
 
Kaaazi kweli kweli, tutamsemea na Yesu mawazo yake. Yangu macho na masikio tu kwa sasa.
 
Hujanisoma badooooo! Sijasema dawa ya Babu haifanyi kazi! Zinagalie tena zile pointi tano hapo juu urudi upya!

Sasa huo ushahidi wa hao watatu waliokufa "baada ya kunywa dawa" ulikuwa unataka kusupport hoja ipi? Sioni relevance yake kwenye tafakuri yako yenye maswala matano.
1. Hivi shetani hawezi kuja akijifananisha kama Mwana wa Nuru?
2. Hivi kweli kumbe watu wanaweza kufa wakisubiria tiba ya Mungu?
3. Hivi kumbe Mungu anaweza kuzidiwa kuhudumia watu aliowaumba?
4. Hivi kumbe Mungu anaweza kuzuia watu wasiongezeke hadi amalize kuwahudumia waliotangulia?
5. Ahaaaa kumbe Loliondo unaweza kuwa mtego wa shetani kumaliza watu wetu?
Labda unisaidie kuelewa.
 
Kama huna imani huponi, na ukifa kabla ya kupewa dawa sio kosa la babu.


RIP Marehemu wote.
 
alikufa akisubiri au hakufa akisubiri? wewe umesema kuwa watu wanakufa wakisubiri tiba ya babu. Kana kwamba sehemu nyingine hawafi wakisubiri tiba. Babu yeye kapewa idara tofauti ya kuangalia. anyway...it seems u wont understand!

Mmetest kuwapa kikombe hao maiti/ Huenda wakafufuka.
 
Sasa huo ushahidi wa hao watatu waliokufa "baada ya kunywa dawa" ulikuwa unataka kusupport hoja ipi? Sioni relevance yake kwenye tafakuri yako yenye maswala matano.

Labda unisaidie kuelewa.
Hoja namba tano
 
Hoja namba tano

May be...lakini serikali imeshatangaza kuwa dawa hiyo 'haina' madhara! So by implication maana yake ni kuwa waliokufa baada ya 'kunywa dawa ya babu' wamekufa kwa sababu nyingine na sio madhara yatokanayo na dawa.

Labda ndio huyo shetani unamsema sasa kaamua 'kuwamaliza'. BTW, mimi nilidhani ni mpango wa Mungu kuwa kila nafsi ni lazima ionje mauti!
 
Tulishasema jaman hapo mwanzoni kuwa Loliondo patakuwa makaburini, ooh! watu wakaanza kututukana mara nyie mmetumwa ooh mara hili! Sasa mapema kabisa ukweli umekuwa wazi! Ukweli la suala la Loliondo ni la kiimani, na ni gumu kulitafsiri lakini inakuwaje yawe makaburi ya watu?? roho ya mauti hatari sana! Mungu hawezi kuwaponya hao watu kwa neno mara moja mpaka wafe wanasubiri kikombe?? Naogopa kusema sio kazi ya Mungu ila jiulize. Yeremia 5:29-31!!
Tafakuru yangu:-
1. Hivi shetani hawezi kuja akijifananisha kama Mwana wa Nuru?
2. Hivi kweli kumbe watu wanaweza kufa wakisubiria tiba ya Mungu?
3. Hivi kumbe Mungu anaweza kuzidiwa kuhudumia watu aliowaumba?
4. Hivi kumbe Mungu anaweza kuzuia watu wasiongezeke hadi amalize kuwahudumia waliotangulia?
5. Ahaaaa kumbe Loliondo unaweza kuwa mtego wa shetani kumaliza watu wetu?

Nimetosha, lakini sihukumu sijui kama Babu katumwa na mungu au la? ninachoweza kusema tafakari mambo hayo matano!
Nawasilisha

View attachment 25816

kufa ni laz4ma na ndo maana hata wazungu hufa acha zako. unataka kuonzesha watu kuwa babu anaua watu? kwa nini usilaumu wanaotoa wagonjwa wao hospital wakiwa wanahitaji care ya karibu wasifanye hivyo- babu keshasema watu wasitoe wagonjwa hospital na wote mnafahamu.
 
Tulishasema jaman hapo mwanzoni kuwa Loliondo patakuwa makaburini, ooh! watu wakaanza kututukana mara nyie mmetumwa ooh mara hili! Sasa mapema kabisa ukweli umekuwa wazi! Ukweli la suala la Loliondo ni la kiimani, na ni gumu kulitafsiri lakini inakuwaje yawe makaburi ya watu?? roho ya mauti hatari sana! Mungu hawezi kuwaponya hao watu kwa neno mara moja mpaka wafe wanasubiri kikombe?? Naogopa kusema sio kazi ya Mungu ila jiulize. Yeremia 5:29-31!!
Tafakuru yangu:-
1. Hivi shetani hawezi kuja akijifananisha kama Mwana wa Nuru?
2. Hivi kweli kumbe watu wanaweza kufa wakisubiria tiba ya Mungu?
3. Hivi kumbe Mungu anaweza kuzidiwa kuhudumia watu aliowaumba?
4. Hivi kumbe Mungu anaweza kuzuia watu wasiongezeke hadi amalize kuwahudumia waliotangulia?
5. Ahaaaa kumbe Loliondo unaweza kuwa mtego wa shetani kumaliza watu wetu?

Nimetosha, lakini sihukumu sijui kama Babu katumwa na mungu au la? ninachoweza kusema tafakari mambo hayo matano!
Nawasilisha

View attachment 25816


Kumbe watu wanapokufa kuna uwepo wa Shetani!?
Basi Hijja ya Makka inaongoza kwa kuwa ya kishetani maana watu wanakufa sana kwa kunyagana kule wanapokuwa wanampiga mawe shetani! upo hapo!
 
Tulishasema jaman hapo mwanzoni kuwa Loliondo patakuwa makaburini, ooh! watu wakaanza kututukana mara nyie mmetumwa ooh mara hili! Sasa mapema kabisa ukweli umekuwa wazi! Ukweli la suala la Loliondo ni la kiimani, na ni gumu kulitafsiri lakini inakuwaje yawe makaburi ya watu?? roho ya mauti hatari sana! Mungu hawezi kuwaponya hao watu kwa neno mara moja mpaka wafe wanasubiri kikombe?? Naogopa kusema sio kazi ya Mungu ila jiulize. Yeremia 5:29-31!!
Tafakuru yangu:-
1. Hivi shetani hawezi kuja akijifananisha kama Mwana wa Nuru?
2. Hivi kweli kumbe watu wanaweza kufa wakisubiria tiba ya Mungu?
3. Hivi kumbe Mungu anaweza kuzidiwa kuhudumia watu aliowaumba?
4. Hivi kumbe Mungu anaweza kuzuia watu wasiongezeke hadi amalize kuwahudumia waliotangulia?
5. Ahaaaa kumbe Loliondo unaweza kuwa mtego wa shetani kumaliza watu wetu?

Nimetosha, lakini sihukumu sijui kama Babu katumwa na mungu au la? ninachoweza kusema tafakari mambo hayo matano!
Nawasilisha

View attachment 25816
Too late. Kwani umewmuliza akasema 'hapana''? Tafakari kwanza mwenyewe.
 
kufa ni laz4ma na ndo maana hata wazungu hufa acha zako. unataka kuonzesha watu kuwa babu anaua watu? kwa nini usilaumu wanaotoa wagonjwa wao hospital wakiwa wanahitaji care ya karibu wasifanye hivyo- babu keshasema watu wasitoe wagonjwa hospital na wote mnafahamu.

ndio !! Babu anaua!sio kitu cha kusema taratibu.anawahadaa watu kuwa anatibu magonjwa sugu,amesababisha mass hysteria watu wametoroka mahospitali kuufuata unabii hewa!kwa nini tusiseme babu ni muuaji?
Naomba mungu afe kiongozi mmoja ili watu watambue kuwa babu hafai.
 
BBC News:Tanzanian 'miracle' pastor Mwasapile calls for a break


A Tanzanian pastor has asked people to stop going to his remote home for a "miracle cure" after thousands flocked there, causing chaos in the surrounding area.
Rev Ambilikile "Babu" Mwasapile, 76, says he does not want any new arrivals until after Friday 1 April, to let the crowds die down.
Local media report that about 52 people have died while waiting to see him.
A BBC reporter says the queues to see him stretch for 26km (16 miles).
Belief in magic and the powers of traditional healers are widespread in Tanzania.
Some witchdoctors say that the body parts of people with albinism are effective when making magic charms, leading to the killing of dozens of albinos in recent years.
Mr Mwasapile's concoction is made from herbs and water, which he sells for 500 Tanzanian shillings (five cents; 3p).
Medical experts in Tanzania are investigating both whether it is safe and if it has any medicinal properties.
When she visited Mr Mwasapile's home near the northern Loliondo town recently, the BBC's Caroline Karobia found 6,000 people waiting to see the retired Evangelical Lutheran Church of Tanzania (ELCT) pastor.
_51865366_img_6092.jpg
The queues stretched for 26km (16 miles) down the road
They are waiting for days by the roadside and outside his home in Samunge village without shelter, clean water or toilets.
As word has spread in the past month of the pastor's supposed ability to cure any ailments, some people have even been taken out of hospital by their relatives who believe they are more likely to be cured by Mr Mwasapile.
Some of these have died before seeing him, while others are reported to have died after taking his concoction.
Extra police have been deployed to the area to control the huge crowds, some of whom have travelled from neighbouring countries such as Kenya and even further afield.
Mr Mwasapile asked for the break following a meeting with local officials.
 
Nadhani problem tree yako ingeonyehsa mzunguko kamili, kwani ilioita matokeo, mengine ndio yamesababisha tiba ya babu kuwa kama ilivyo,
Tiba hii ni kati ya matokeo ya matatizo makubwa tulionayo. umasikini, ujinga na maradhi!!!
 
Popote duniani hakuna dawa ya kuzuia au kutibu kifo
Wagonjwa wanakufa hata kwenye hospitali kubwa kabisa zenye wataalam wa hali ya juu kabisa
Dawa ya babu ni dawa na imani (neno la Mungu)
Hata wakati wa Yesu watu walikuwa wanakufa; Lazaro anatajwa kwa vile alifufuliwa.
Yesu alianza peke yake lakini alipotaka watu wengi wahubiriwe, aliwatuma wanafunzi wake; Babu ameanza peke yake, kadri watu wanavyoongezeka, tuombe Mungu amfunulie ili awatumie hao wanaomsaidia kugawa dawa (nao wawe na uwezo wa kutoa dawa kama babu)
Malaria ina dawa tena ambayo kisayansi inaaminika kutibu, lakini wapo watu wanaokunywa dawa hiyo na wanakufa hadi inafikia mahali pa kutafuta kinga (net).
Kwa kuwa watu wengi bado wanapona kwa kunywa kikombe cha babu, serikali inatakiwa kuimarisha huduma za dharura ili wale walio mahututi waendelee na dawa zao za kawaida kabla ya kufika kwa babu. Wakati niko kwenye msitari wa kufika kwa babu niliona gari la ambulance la Halmashauri likizunguka kwenye foleni likiwa na mganga tayari kuhudumia wale walio mahututi - wa pumu, kifafa nk. Hii ni step nzuri. Ile kodi ya Tshs 2000 kwa kila gari, halmashauri iitumie kuimarisha hali ya usafi pale. Chimba vyoo vya muda along the road up to say 10 km. Chimba mashimo ya kutupa takataka along the road, na watu waelekezwe kutupa takataka humo. Siku hizi watu ni wastaarabu, ukiwaelekeza usafi wanafuata. Kwa kuwa kikombe cha babu kinakubalika na wengi, tumuwezesha kuchemsha dawa kwa wingi zaidi na kuimarisha namna ya kusafisha vikombe. Kwa mfano akiwezeshwa kuchemsha kwa kutumia gesi, hii inaweza kuchemsha dawa nyingi na hata maji ya kuoshea vikombe yakawa ya moto pia; Hii pia itazuia uharibifu wa mazingira utakaosababishwa na ukataji kiti kwa ajili ya kuni nk.
Pamoja na tahadhari na wasiwasi juu ya kikombe cha babu, as long as wengi wanakikubali, ebu tuboreshe mazingira yake; tukubali kwamba kwa hivi sasa ni vigumu kuwazuia watu wasiende!
 
May be...lakini serikali imeshatangaza kuwa dawa hiyo 'haina' madhara! So by implication maana yake ni kuwa waliokufa baada ya 'kunywa dawa ya babu' wamekufa kwa sababu nyingine na sio madhara yatokanayo na dawa.

Labda ndio huyo shetani unamsema sasa kaamua 'kuwamaliza'. BTW, mimi nilidhani ni mpango wa Mungu kuwa kila nafsi ni lazima ionje mauti!

Hoja yako ni ya msingi saaana! nimekufurahia sana! Wacha tu niseme machache! Dawa ya Babu haiui! Dawa ya babu haina shida, serikali haina shida, babu hana shida SHIDA NI KWAMBA INATAKIWA BABU AWEKE WAZI TU KWAMBA YEYE NI MGANGA WAJADI (naogopa kusema) pia watu wanatakiwa watambue kuwa huo unaweza kuwa mtego mbaya wa shetani ili awaue watu!
 
Back
Top Bottom