Lizzy

Lizzy

Nimepitia blog yake...imekaa vizuri.
Asanteee...

lizzy kweli upo wapi?
Niko hapa Bebii...

Ngoja niicheki hiyo blog.
Ina nin lakini?
Angalia uone bana....

Dah mtu wangu utafikiri we ni mtu wa masoko (marketing)..... yaani ulitutengenezea scarcity hahahaha
Naamini umerejea kwa kasi ya ajabu zaidi ya JK.....
Nimefurahi kukuona!!!!
Hahahaha...haya bana!!
Ila we kasi ya JK hata konokono anamshinda....so mimi zaidi!!!
 
Mimi nilidhani Mr. kapiga mkwala usiingie JF
 
Salimia itabidi nikudondoshee namba zangu next time unipigie kabisa!!



Machame bana....



Hahahaha...nilikua nimepigwa ban kwenye cafe niliyozoea na kwingine kote hawakopeshi!


Lolzzz...kaaazi kweli kweli!!


Na kweli si bure....
Kweli tumikumiss mwaya.
 
Nimefurahi Lizzy umetupa ishara kuwa upo.
Mara nyengine tutonye kabla hujapotea. Wengi walikumiss!
Ubarikiwe dada Lizzy!
 
wakubwa samahanini sana nauliza tu huyu mtu lizzy yuko wapi siku hizi? Alikuwa ananibariki sana na uwepo wake humu na sijamuona kitambo kidogo. Mwenye data anijuze maana huenda mwenzetu ame "ngo" tayari sisi tunacheka tu. Uta "ngo" na wewe

ni mzazi sasa akitenemaa atakuja
 
Nilikumiso pia weye mpalestina! by the way tunasubiria zawadi w saba kule kunako kijiwe chako hadi tunaanza kusahau sasa kwahiyo fanya hima......
 
Na mimi niliwamiss pia...



MM ulidhani nimeondoka duniani bila kuaga nini...???lolz!!Muda bado bana...majukumu tu yanabana!!
Nooo, sio hivyo dear, nilkusudia ukipotea kwa majukumu.
Umenichekesha sana!Hivi mtu aage watu kuwa anataka kuaga dunia? That can happen only to suiciders. Mungu atuepushie na majaribu na uishi muda mrefu!
 
Back
Top Bottom